Miaka 15 tukiwa Ikulu. Inshallah

Miaka 15 tukiwa Ikulu. Inshallah

Haibadilishi ukweli kuwa kwao ni Mkuranga, wala sio Zanzibar.
Nani mwenyeji Zanzibar kwani? Kule wengi wahamiaji tena wa miaka ya karibuni kama hao akina Mwinyi..

Halafu hoja yangu ipo kwenye ukazi wa sasa na wala si asili ambayo we unang`ang`ania,, kama ni asili basi hata hii Tanganyika karibia nusu wote wakuja...
 
Back
Top Bottom