ZINDAGI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 1,117
- 1,424
Nipo naandika hapa, najua sitakua hai muda huo ukifika, lkn ningependa kujifikirisha maendeleo tutakayokua nayo siku ya kilele cha kusherehekea miaka 100 ya Uhuru wa Tanzania.
1.Daraja la kwenda na kurudi Zanzibar lazinduliwa.
2.Kiwanda cha kutengeneza magari Tanzania, tutayaita Twiga
3.Treni za umeme zenye kasi ya 500km/hr za zinduliwa
4.Maji ya Ziwa victoria yaletwa Dar Es salaam
5.Mtambo wa kuzalisha umeme wa Nyuklia wenye uwezo wa Megawatt 10,000 huko Songea
6.Dar Es Salaam Airport yahudumia ndege zaidi ya 200 kwa siku.
7.Tanzania yabeba kombe la dunia la mpira wa miguu mara 2
8.Tunalisha dunia kwa kilimo chenye tija.
9.Tanzania tumeanzisha green Card, kupata labor force.
Think positively, endeleza ya kwako.
1.Daraja la kwenda na kurudi Zanzibar lazinduliwa.
2.Kiwanda cha kutengeneza magari Tanzania, tutayaita Twiga
3.Treni za umeme zenye kasi ya 500km/hr za zinduliwa
4.Maji ya Ziwa victoria yaletwa Dar Es salaam
5.Mtambo wa kuzalisha umeme wa Nyuklia wenye uwezo wa Megawatt 10,000 huko Songea
6.Dar Es Salaam Airport yahudumia ndege zaidi ya 200 kwa siku.
7.Tanzania yabeba kombe la dunia la mpira wa miguu mara 2
8.Tunalisha dunia kwa kilimo chenye tija.
9.Tanzania tumeanzisha green Card, kupata labor force.
Think positively, endeleza ya kwako.