Miaka 100 ijayo tulio hai leo tutakua tumefariki

Miaka 100 ijayo tulio hai leo tutakua tumefariki

Hakika. Wenye miaka 30 kwenda juu hatufiki 2126
Mungu wa ajabu wew, cha kushangaza wapo watafka. kuna mbib kafariki mwez uliopita alikua kafikisha miaka 115 na alikuaga anatembea sema miguu tu ndo ilivimba. Na kushindwa kutembea
 
Wakati huo super power wa Dunia atakuwa ni Tanzania inatoa misaada Kwa USA kama ARVs na Vyandarua
 
Miaka 100 kuanzia sasa yaani mwaka 2126 sisi tulio hai leo, hatutakuwepo kwenye uso wa dunia.

Kwa takwimu za mwaka huu, dunia ina watu takribani bilioni 7.8. maana yake miaka 100 ijayo dunia itakua imemeza watu wote hawa
immortality tupo hapa
 
Back
Top Bottom