Seriously bro?,why can't you kill somebody like presdaa? Utakumbukwa Hadi kwenye mitihani niamini Mimi!!!Siogopi kufa,natambua nitake nisitake ni lazima nitakufa.
Ila natamani niache kitu ambacho jina langu litajwa kupitia hicho.
(Kituo cha kulea watoto yatima)
Alipofariki ndipo wengine tukafahamu kuwa hakuwa mwanamke na kwamba alikuwa anakwenda mpaka kuchungulia madirishani mwa watu ili apate ubuyu wa kuleta JF.Thread za namna hii mara nyingi huanzishwa na watu ambao kwa namna moja ama nyingine wanapiyia wakati mgumu sana Depression or Stress nakushauri tafuta mtu au angalia namna ya kuwaza kifo.
Kifo kipo tu
Nakumbuka warumi alikuwa member active sana humu kumbe muda huo alikuwa anaumwa sana hadi umati unamkumbuka akiwa hospital
Leo upo ujue kesho utaamkaje
Kwanini nipokonye uhai wa mtu ingali na mimi nitaenda kwenye ameenda.Seriously bro?,why can't you kill somebody like presdaa? Utakumbukwa Hadi kwenye mitihani niamini Mimi!!!
Kutajwa kwa jina kutakuwa kunakusaidiaje ukishakufa, hao marehemu wanaotajwa na wasiotajwa wana tofauti zipi.Siogopi kufa,natambua nitake nisitake ni lazima nitakufa.
Ila natamani niache kitu ambacho jina langu litajwa kupitia hicho.
(Kituo cha kulea watoto yatima)
kwahyo unataka kusema nini hapo?Miaka 100 kuanzia sasa yaani mwaka 2126 sisi tulio hai leo, hatutakuwepo kwenye uso wa dunia.
Kwa takwimu za mwaka huu, dunia ina watu takribani bilioni 7.8. maana yake miaka 100 ijayo dunia itakua imemeza watu wote hawa
Kutajwa baada ya kifo ni kwa ajili ya kumbukumbu za walio hai,kwa marehemu, ukimya ni ule ule.Kutajwa kwa jina kutakuwa kunakusaidiaje ukishakufa, hao marehemu wanaotajwa na wasiotajwa wana tofauti zipi.
Watu wachache sana wanaelewa na kufatilia vituo vya watoto yatima,so utakuwa kwenye mioyo ya watu 10 tu bro,ambao nao pia watakufa na utasahaulika kabisa!!!Kwanini nipokonye uhai wa mtu ingali na mimi nitaenda kwenye ameenda.
Sihitaji kuandikwa kwenye historia mkuu,nahitaji kuandikwa kwenye mioyo ya watu mpaka nao watakapo kufa.
Hata ukisahaulika na dunia, athari uliyoacha kwa hao 10 haiwezi kufutika,maana ya maisha haiko kwenye kukumbukwa na wengi, bali kugusa hata moyo mmoja kwa kweliWatu wachache sana wanaelewa na kufatilia vituo vya watoto yatima,so utakuwa kwenye mioyo ya watu 10 tu bro,ambao nao pia watakufa na utasahaulika kabisa!!!
Kitu kikubwa Sana hiki mkuu.Umegusa taaluma yangu.Siogopi kufa,natambua nitake nisitake ni lazima nitakufa.
Ila natamani niache kitu ambacho jina langu litajwa kupitia hicho.
(Kituo cha kulea watoto yatima)