Miaka 10 ya uongozi wa Rais Benjamini William Mkapa

Miaka 10 ya uongozi wa Rais Benjamini William Mkapa

Tusichokijua kuhusu mkapa ni sawa natusichokijua kuhusu nyerere, wote makosa waliyofanya ndio yanaligharimu taifa.

1.NYERERE: alianzisha mfumo ulioshindwa wa
ujamaa, alishindwa kuusimamia ukafa kwenye mikono yake, Watanzania wakawa masikini, alisababisha watanzania kuwa wanafiki na waoga, Alipoona ujamaa umeshindwa akajiuzuru akijifanya hana tamaa ya madaraka wakati aliongoza miaka 20. hapa utaona kosa kubwa ni ujamaa ulioshindwa ambao ndio sababu kubwa ya matatizo mengi tanzania,wenzie akina kambona walimshauri mapema katika binge hili akaanzisha nao uadui..

B.MKAPA(BMW): Huyu alikuja na sera ya ubinafsishaji ambayo ndio imeleta matatizo mengi sana mpaka Sasa, ufisadi ulianzia hapa, mikataba mibovu ilianzia hapa,watu kunyang'anywa ardhi kulianzia hapa,, utaona pamoja na kudhibiti hela ndani watu ndio wakaziiba na yeye mwenyewe akishiriki, kwa kifupi alitengeneza bomu na kulitega ili lilipuke yeye akiwa hayupo... Watanzania wanateseka na hii sera sasa mpaka leo.

Jk,kikwete: amerithi yale ya mkapa, bomu limelipukia Keane, naye amekosa mwelekeo na nguvu ya kupambana,dhaifu, katika utawala wake watu wamenunua serikali na kutokua na woga kwa kifupi ni dhaifu na muoga hata uthubutu na uzalendo, kwake uongozi umekuwa cheap,unafiki,utoto,urafiki kwenye kazi..
Ameendeleza umasikini walioacha wenzake.

MWINYI: SINA COMMENT... semeni nyie.
 
Mkapa hakuingia ikulu kwa kupitia mtandao wa mafisadi alijua anaenda kufanya nini,watz mnaona kabisa Kikwete kazungukwa na watu hatari akina Rostam,EL,na wengine mlitegemea nini.na washauri wapinzani watoe wagombea wenye uwezo wakuweza kuwangalia wananchi,leo ubungo hadi posta nauli sh.2000.ametukatisha tamaa Kikwete shusha kodi ya petrol ,dizel na mafuta ya kula japo tukupende hapa mwishoni

Umesahau waganga wa kienyeji .
 
Hata JK mtamsifu tu sasa HV mnajifanya hamuoni mavituzi

Duu huyu hata wajukuu zangu sina cha kuwaambia zaidi ya kutokea kiongozi wa kwanza anaependa kuruka na ndege kuliko wote afrika nihayo mengine yaliobaki majanga.
 
Jk,kikwete: amerithi yale ya mkapa, bomu limelipukia Keane, naye amekosa mwelekeo na nguvu ya kupambana,dhaifu, katika utawala wake watu wamenunua serikali na kutokua na woga kwa kifupi ni dhaifu na muoga hata uthubutu na uzalendo, kwake uongozi umekuwa cheap,unafiki,utoto,urafiki kwenye kazi..
Ameendeleza umasikini walioacha wenzake..
Vipi kuhusu wakulima ambao ni 70%-80% yetu ni lini wameanza kujivunia, au lini umewahikusikia hifadhi ya taifa ya chakula imejaa kupitliza, wakulima wanasehemu za kuhifadhi mazao yao, wakulima wameanza kujenga nyumba za kisasa ingawa ujasiriamali na miundo mbinu bado, lini umewahi kusikia wakulima wakianza kuongea sera imara za uchumi kilimo, sehemu ngapi ndio kwanza leo zinapata maji ya uhakika ili watoto na wamama wasizunguke maporini, zahanati ngapi zinajengwa leo, nyumba za watumishi wa umma vijijini?

Ukitoa nguvu alizotumia mwalimu na kwa sababu sahihi za kujenga taifa ndio maana hata sababu zake za ujamaa uwezi kuzielewa maana azikulenga kwenye uchumi tu bali na ujenzi/bond ya utaifa. Anyway he is in a different levelna waliomfuatia awa hata robo ya akili za mwalimu awana.

Ukirudi kwa waliomfuatia Mwalimu JK ndio pekee kaonyesha any sort of momentum towards development in terms of preparing the environment that could accommodate changes i.e infrastructure and other social capital investment. Itakuwa ujinga kutetea kilakitu alicho kifanya maana it could have been better would he have been a serious president; regardless without a shadow of the doubt he is the first president to have had implemented inclusive policies that impacted the nation positively na kuwaachia mazingira yenye unafuu viongozi wa baadae ambao watakuwa serious na maendeleo maana kuna jeshi la wasomi/informed farmers (who understand what policies would suit them) tayari kupokea maendeleo na kuchangamkia fursa.

Mwinyi na Mkapa awa ndio walikuwa time wasters tu no impact nor legacy was left behind, whatsoever.
 
wewe utakuwa taahira kama hujui kwa mara ya kwanza mabasi kwenda mwanza yaliacha kupitia Nairobi lini.
Na pili wewe ni pimbi kama hujui hata yale madaraja 3 aliyojenga JK ni miongoni mwa madaraja 5 aliyoahidi nyerere akiwa madarakani. sembuse hizo barabara.

Ulifunga duka kwa sababu ya kutegemea biashara za kihuni na wizi wizi tu(wenyewe mnaita dili).Hakuna kipya alicholeta JK katika barabara zaidi ya kutekeleza mipango ya BWM ambaya kwa mara ya kwanza alisababisha safari za mabasi kutoka Mwanza kwenda Dar zisipitie Nairobi tena!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Vipi kuhusu wakulima ambao ni 70%-80% yetu ni lini wameanza kujivunia, au lini umewahikusikia hifadhi ya taifa ya chakula imejaa kupitliza, wakulima wanasehemu za kuhifadhi mazao yao, wakulima wameanza kujenga nyumba za kisasa ingawa ujasiriamali na miundo mbinu bado, lini umewahi kusikia wakulima wakianza kuongea sera imara za uchumi kilimo, sehemu ngapi ndio kwanza leo zinapata maji ya uhakika ili watoto na wamama wasizunguke maporini, zahanati ngapi zinajengwa leo, nyumba za watumishi wa umma vijijini?

Ukitoa nguvu alizotumia mwalimu na kwa sababu sahihi za kujenga taifa ndio maana hata sababu zake za ujamaa uwezi kuzielewa maana azikulenga kwenye uchumi tu bali na ujenzi/bond ya utaifa. Anyway he is in a different levelna waliomfuatia awa hata robo ya akili za mwalimu awana.

Ukirudi kwa waliomfuatia Mwalimu JK ndio pekee kaonyesha any sort of momentum towards development in terms of preparing the environment that could accommodate changes i.e infrastructure and other social capital investment. Itakuwa ujinga kutetea kilakitu alicho kifanya maana it could have been better would he have been a serious president; regardless without a shadow of the doubt he is the first president to have had implemented inclusive policies that impacted the nation positively na kuwaachia mazingira yenye unafuu viongozi wa baadae ambao watakuwa serious na maendeleo maana kuna jeshi la wasomi/informed farmers (who understand what policies would suit them) tayari kupokea maendeleo na kuchangamkia fursa.

Mwinyi na Mkapa awa ndio walikuwa time wasters tu no impact nor legacy was left behind, whatsoever.

Mkuu huoni kufeli kwa ujamaa tanzania kumekuwa na effect kubwa sana, nyerere ana mazuri yake sijakataa ila pia ana mabaya yake, mabaya yake ndio yalikuwa na impact kubwa sana kuliko mazuri yake, kushindwa kusimamia ujamaa alioanzisha, failure ya viwanda vingi alivyoyanzisha ilianzia kwake mwenyewe alichukua hatua gani??? Baada ya ujamaa kushindwa tanzania alikuja na suluhu gani? Aliwaandaaje watanzania enzi hizo kuendeleza mifumo, aliacha policy ipi ya taifa? yeye kama kiongozi katika nchi ya kijamaa alitawala kufuata misingi
ya ujamaa? Yeye kama mwanzilishi wa taifa mbona aliwaachia watz katiba mbovu?

JK kikwete: ili uweze kuendeleza taifa, unatakiwa uhakikishe taifa linadhalisha kwa maana hasahasa kwa taifa masikini, serikali inatakiwa iwe ihakikishe ina technologist wakutosha wanaoweza kuinovate, serikali inatakiwa angarau iwe na viwanda inavyosimamia, serikali isiwe na matumizi makubwa,ikiwezekana iwe na sera ya kubana matumizi..
Tunaambiwa deni la taifa limeongezeka maradufu, barabara hazina viwango,hazidumu marà kwa mara hufanyiwa repair,barabara nyingine hujengwa kwa msaada wa watu wa marekani, Serikali na bajeti yetu bado tegemezi kwa wahisani,wizi wabillions umekuwa wakupitiliza,
KIKWETE kama mzalendo anaeondoka madarakani je ameacha sera ipi na mkakati upi ili tusiwe tegemezi kwa wahisani? Bajeti yetu yote itokane na mapato yetu wenyewe??? Tujenge miundombinu kwa fedha zetu wenyewe?? nipe hiyo mikakati ili nimpe like...

NYERERE,MWINYI,MKAPA,KIKWETE Wote wamefeli.. tusubiri 2015.. hakuna maajabu waliofanya, waliyoyafanya yoyote angeweza fanya kwani yapo kwà sababu ya maendeleo ya dunia, na sisi hatuna mchango katika maendeleo ya dunia ila tunasubiri dunia iendelee ili nasi tusogee..

Mkuu niconvice niamini@!!!
 
nilikua natoka kisukuru hadi Tbt Mawenzi kwa 100 au 150 sasa 900

migombani hadi kimanga 500

kimanga hadi mawenzi 400
 
samurai

Mkuu huwezi kufananisha philosophy ya ujamaa wa akina Max, Engels, Mao et al na Nyerere, those people were trying to fight existing classes within society. Whereby, Nyerere (my take in political reasoning as i read him) yeye aliona ujumaa ndio njia sahihi ya kujenga utaifa ambalo lilikuwa na uhaba wa wasomi, njia ya kujikinga na ubepari ambao ungeweza kuja na influences zingine katika jamii (kumbuka the practices where rich among colonial masters); wakati kikubwa kwake ilikuwa kujenga akili za utaifa kwanza na kuweka misingi imara ya utanzania. Na ata yeye akatai makosa ya kiuchumi, lakini kama mara nyingi utasikiliza speech zake, interview zake na maandishi yake hoja yake kubwa unakuta ni nationalism thinking among its subjects. Kwa hivyo unaweza kuona (or assume) where most of his leadership thinking aimed at na kwanini ujamaa ulikuwa muhimu kwake sanasana within his boundaries, lakini hakuna mahala ambapo amesaidia ukombozi na kuwaomba na wao wafuate nyao hizo despite his Pan-Africanism beliefs.

Kwa hivyo ku-fail kwa ujamaa tusiangalie kiuchumi tu bali integration among us, social reasoning, identity etc alizoacha na long term impact. Kuna watu watakao tetea na kudai mbona integration ilianza miaka mingi what they wont tell is how migrants were identified, opportunities available, ebu wasome wale wa kariakoo wanaommbeza Nyerere na wanavyojiona muhimu katika historia ya uhuru. Au fuatilia wanyamwezi waliokuwa wanaenda Zenj walikuwa wanafanya kazi gani na kwanini kukawa na makundi tofauti ya kimaoni wakati wakupigania uhuru sana sana huko ZnZ. Nyerere alitaka kwanza wote hawa wajitambue kuwa ni watu wenye haki sawa sasa sijui unaanzia wapi hapo bila ya sera za kijamaa?

Ntakubali tu kuwa akutayarisha viongozi imara wa kisiasa wa baadae na kulegeza checks serikarini ili kuwe na uwajibikaji leo, hivi ni vitu ambavyo alijimilikisha madaraka ya teuzi nyingi ili kufikia malengo yake na kumpa udikteta fulani wa kutimiza malengo yake ambayo yalikuwa ya lazima na umuhimu kwa wakati wake (kama kuteua watu wakabila mbali mbali kuongoza sehemu wasizotoka na sheria za kuwafanya waheshimike) na sehemu zingine muhimu na nyeti ili kuweza kuwa in control of the politics and his radical policies.

As for the whole katiba ukitoa poor checks ni katiba bora moja duniani hakuna, isipokuwa wanasheria wamelala kuzipeleka taasisi za serikari au wabunge wakupinga legislations zinazoletwa na serikari ambazo ni unconstitutional lakini inabidi uisome vizuri ndio utanielewa na mwishowe utagundua tatizo sio katiba kabisa kama tunatazama haki za raia bali tatizo ni wafanya checks za katiba i.e wabunge, judiciary and other toothless policing organs.

Uongozi wa Jakaya Kikwete, maswali yako unayoyauliza na lawama unazotaka kutoa ni baseless na wala azina ugumu wa chicken and egg which came first, uwezi kushamiri as an industrial society with massive noneducational among many. Huwezi kuendelea kama una poor infrastructure, poor communication channels from the policy makers with the rest of society and monitoring, one way thinking (bila ya kelele za upande wa pili media, raia, opposition parties; all these help you stay in a perpective), less competition in the economy participants, a population with multiple deprivations, supportive businesses industries, to name a few.

Wanachokifanya akina JK ni kutengeneza mazingira ya kuhakikisha environment inaweza pokea industrial phase, na kuhakikisha sera kuu inawafikia wengi na wananufaika wakati wanajenga mazingira ya baadae (ndio maan kilimo kwanza kinapewa kipaumbele kwakuwa kinagusa wengi wetu). Sasa kinachotokea pengine ata wenyewe awakukitegemea ni mafanikio ya haraka ya sera kuu na wakulima kuanza kudemand vitu vingine mapema mfano; more competition on the market of their produces, kufundishwa kusindika ili waweze utilize more mfano kutengeneza wenyewe kiasi fulani cha mafuta ya alizeti, matunda to juices, pilot schemes za wafugaji wana demand soko la maziwa, nyama na mambo mengi sana yanaibuka kwa mara ya kwanza: ambayo hayajatengewa sera za kuipokea kilimo kwanza.

Either way the next phase of industrial revolution ikianza wao walilenga wawe tayari na an already existing supporting environment (kumbuka kimazingira hii imekuja haraka kwa mtazamo wangu), hata tatizo la huko ni kwamba sio capital only inahitajika na soko (kama wakulima wanvyodai), bali pia maadili ya kazi na maendeleo, wasomi ambao ndio kwanza wanaanza kuwa enough for the first time in our history to support such industries, infrastructure and easy access to resources etc.

Mazingira yote kayatayarisha JK largely, despite kuwa na watu wengi wanaoaribu na ubadhilifu wa hali ya juu. Hawa watoto wa CDM wenye miaka ishirini wanakuja hapa kutukana na elimu zao za chuo wengine ata uwezo wao bado mdogo sana wa kureason na hawajui leo wanaitwa wasomi eti university graduates. Lakini awaelewi ni kutokana na chances walizopata chini ya JK huko nyuma kutokana na uwezo wao mdogo wanaounyesha hapa kihoja na ushindani wa nafasi za vyuo wangekuwa wameanza kushikilia viduka vya wazazi wao sasa na elimu ndio wangeisikia bombani, lakini sasa wamekuwa wasomi wanadai ajira bila ya kuwa na shukruni kwa mtu aliewapa nafasi. Anyway hilo la ajira na viwanda hayo sasa yawe changamoto wa atakae mfuata JK, hila jamaa kaacha kitu ambacho kina impact na inaoneka asietaka ana yake tu, hata sera za uwekezaji sasa si kupangiana na watu wachache mtakao kutana Kempsinki, bali ni national known policies.
 
The best leader in TZ was SOKOINE.Alikuwa mkal kulnda/kusimamia mali za umma ZISIFISADIWE.Mkapa mkal kuprotect MAFSAD tu
 
Kiongoz wa kukumbukwa ni SOKOINE.Alkuwa mkal kusimamia mal za umma ZISIFISADIWE.Ben mkal wa kukumbatia WEZI wa mal za um
 
Kiongoz wa kukumbukwa ni SOKOINE.Alkuwa mkal kusimamia mal za umma ZISIFISADIWE.Ben mkal wa kukumbatia WEZI wa mali.
 
nyerere ndio aliotusababishia matatizo ya muungano baada ya kujadili masuala ya maendeleo kama nchi nyingine ulimwenguni leo tunapoteza muda kujadili suala ambalo yeye alishindwa kutabiri kwamba kizazi cha miaka hamsini ijayo kitakuja kudai tanganyika yao aliyoiua,huyu huyu nyerere aliyekaa madarakani miaka 25 bila hata kujenga sekondari moja zaidi ya kutaifisha za mashirika,huku akidai kwamba kipau mbele kwa wananchi wake n kujua kusoma kuandika na kuhesabu,huyu huyu nyerere alikuwa anawacheka wachaga na chifu wao miaka ya 1980 wakati wanajenga masekondari kwamba watapata wapi walimu,huyuhuyu nyerere ugonvi wake binafsi na uganda akalihadaa taifa na kuliingiza vitani,huyuhuyu nyerere aliyewafunga na kuwanyonga waliokuwa wakiipinga serikari yake,huyuhuyu nyerere aliyewahadaa watanzania kwamba wasimpe malecela urais kwani atauza nchi kwa hofu yake binafsi kwamba atamlipa kisasi kwa kumpa ofisi yenye kiti na meza bila kumpa majukumu ya kufanya kwa muda wa miaka mingi mtu anakuja ofisin asubuh na kurudi jion.
 
Kiongozi anaonekana usoni. Matendo na maamuzi yake pia yanathibitisha hulka yake!

Kuna tofauti kubwa kati ya miaka 10 ya Big Ben na miaka hii ya Msanii JK.... Ni practical experience tunapewa kuhusu kufanya maamuzi sahihi!
Tumewekwa darasani kwa miaka 9 kati 10 ya kusoma Kozi ya Rais wa Nchi Yetu... Yafaa hadi sasa tuwe na uelewa kuwa nchi hii tunamtaka Rais wa aina gani kwa malengo gani!
Si siri tena kuwa taifa letu limekuwa la kichuuzi chuuzi. Taifa letu limekuwa kinara kwenye biashara haramu. Serikali imekosa sauti ndani ya nchi na nje ya nchi!
Pengo kati ya wenye nacho na wasiokuwa nacho linazidi kuwa kubwa!

Linaloniumiza zaidi tunaanza kuona jamii ikibadilika na kutegemea mambo ya umbea umbea tu! Mambo ya kuambiwa ambiwa tu! Jamii inayojidai kujua kila kitu na mara zote inajinukuu yenyewe ndani ya yale yale ya kijinga! Jamii inayozidi kupenda makundi, mipasho na kujadili majina ya watu badala ya hoja zao! Jamii isiyopenda kujisomea bali inapenda starehe na miziki yenye kudhalilisha utu wa mwanamke!

Hapa ndipo napaza sauti na kupiga kelele ile ile ya siku zote - kelele za kuhamasisha mabadiliko! Tuzidi kupiga hizi kelele bado kidogo waliolala nao wataamka kuungana nasi!
 
samurai

Mkuu huwezi kufananisha philosophy ya ujamaa wa akina Max, Engels, Mao et al na Nyerere, those people were trying to fight existing classes within society. Whereby, Nyerere (my take in political reasoning as i read him) yeye aliona ujumaa ndio njia sahihi ya kujenga utaifa ambalo lilikuwa na uhaba wa wasomi, njia ya kujikinga na ubepari ambao ungeweza kuja na influences zingine katika jamii (kumbuka the practices where rich among colonial masters); wakati kikubwa kwake ilikuwa kujenga akili za utaifa kwanza na kuweka misingi imara ya utanzania. Na ata yeye akatai makosa ya kiuchumi, lakini kama mara nyingi utasikiliza speech zake, interview zake na maandishi yake hoja yake kubwa unakuta ni nationalism thinking among its subjects. Kwa hivyo unaweza kuona (or assume) where most of his leadership thinking aimed at na kwanini ujamaa ulikuwa muhimu kwake sanasana within his boundaries, lakini hakuna mahala ambapo amesaidia ukombozi na kuwaomba na wao wafuate nyao hizo despite his Pan-Africanism beliefs.

Kwa hivyo ku-fail kwa ujamaa tusiangalie kiuchumi tu bali integration among us, social reasoning, identity etc alizoacha na long term impact. Kuna watu watakao tetea na kudai mbona integration ilianza miaka mingi what they wont tell is how migrants were identified, opportunities available, ebu wasome wale wa kariakoo wanaommbeza Nyerere na wanavyojiona muhimu katika historia ya uhuru. Au fuatilia wanyamwezi waliokuwa wanaenda Zenj walikuwa wanafanya kazi gani na kwanini kukawa na makundi tofauti ya kimaoni wakati wakupigania uhuru sana sana huko ZnZ. Nyerere alitaka kwanza wote hawa wajitambue kuwa ni watu wenye haki sawa sasa sijui unaanzia wapi hapo bila ya sera za kijamaa?

Ntakubali tu kuwa akutayarisha viongozi imara wa kisiasa wa baadae na kulegeza checks serikarini ili kuwe na uwajibikaji leo, hivi ni vitu ambavyo alijimilikisha madaraka ya teuzi nyingi ili kufikia malengo yake na kumpa udikteta fulani wa kutimiza malengo yake ambayo yalikuwa ya lazima na umuhimu kwa wakati wake (kama kuteua watu wakabila mbali mbali kuongoza sehemu wasizotoka na sheria za kuwafanya waheshimike) na sehemu zingine muhimu na nyeti ili kuweza kuwa in control of the politics and his radical policies.

As for the whole katiba ukitoa poor checks ni katiba bora moja duniani hakuna, isipokuwa wanasheria wamelala kuzipeleka taasisi za serikari au wabunge wakupinga legislations zinazoletwa na serikari ambazo ni unconstitutional lakini inabidi uisome vizuri ndio utanielewa na mwishowe utagundua tatizo sio katiba kabisa kama tunatazama haki za raia bali tatizo ni wafanya checks za katiba i.e wabunge, judiciary and other toothless policing organs.

Uongozi wa Jakaya Kikwete, maswali yako unayoyauliza na lawama unazotaka kutoa ni baseless na wala azina ugumu wa chicken and egg which came first, uwezi kushamiri as an industrial society with massive noneducational among many. Huwezi kuendelea kama una poor infrastructure, poor communication channels from the policy makers with the rest of society and monitoring, one way thinking (bila ya kelele za upande wa pili media, raia, opposition parties; all these help you stay in a perpective), less competition in the economy participants, a population with multiple deprivations, supportive businesses industries, to name a few.

Wanachokifanya akina JK ni kutengeneza mazingira ya kuhakikisha environment inaweza pokea industrial phase, na kuhakikisha sera kuu inawafikia wengi na wananufaika wakati wanajenga mazingira ya baadae (ndio maan kilimo kwanza kinapewa kipaumbele kwakuwa kinagusa wengi wetu). Sasa kinachotokea pengine ata wenyewe awakukitegemea ni mafanikio ya haraka ya sera kuu na wakulima kuanza kudemand vitu vingine mapema mfano; more competition on the market of their produces, kufundishwa kusindika ili waweze utilize more mfano kutengeneza wenyewe kiasi fulani cha mafuta ya alizeti, matunda to juices, pilot schemes za wafugaji wana demand soko la maziwa, nyama na mambo mengi sana yanaibuka kwa mara ya kwanza: ambayo hayajatengewa sera za kuipokea kilimo kwanza.

Either way the next phase of industrial revolution ikianza wao walilenga wawe tayari na an already existing supporting environment (kumbuka kimazingira hii imekuja haraka kwa mtazamo wangu), hata tatizo la huko ni kwamba sio capital only inahitajika na soko (kama wakulima wanvyodai), bali pia maadili ya kazi na maendeleo, wasomi ambao ndio kwanza wanaanza kuwa enough for the first time in our history to support such industries, infrastructure and easy access to resources etc.

Mazingira yote kayatayarisha JK largely, despite kuwa na watu wengi wanaoaribu na ubadhilifu wa hali ya juu. Hawa watoto wa CDM wenye miaka ishirini wanakuja hapa kutukana na elimu zao za chuo wengine ata uwezo wao bado mdogo sana wa kureason na hawajui leo wanaitwa wasomi eti university graduates. Lakini awaelewi ni kutokana na chances walizopata chini ya JK huko nyuma kutokana na uwezo wao mdogo wanaounyesha hapa kihoja na ushindani wa nafasi za vyuo wangekuwa wameanza kushikilia viduka vya wazazi wao sasa na elimu ndio wangeisikia bombani, lakini sasa wamekuwa wasomi wanadai ajira bila ya kuwa na shukruni kwa mtu aliewapa nafasi. Anyway hilo la ajira na viwanda hayo sasa yawe changamoto wa atakae mfuata JK, hila jamaa kaacha kitu ambacho kina impact na inaoneka asietaka ana yake tu, hata sera za uwekezaji sasa si kupangiana na watu wachache mtakao kutana Kempsinki, bali ni national known policies.

Ni mwendelezo ule ule wa kuteletea theory and talking the talk as usual. Unampamba JK kwa sifa nyingi asizostahili eti anaweka misingi ya industrialization,hivi kuna nchi yoyote duniani iliyoendelea kiviwanda bila ya kuwa na elimu bora?Angalia mwelekeo wa elimu ulivyo chini ya utawala wa JK halafu tuambie tunatengeneza misingi ya namna gani ya industrialization ikiwa tunazalisha wasomi na wataalam ambao ni substandard?Honestly speaking chini ya utawala wake sijaona mabadiliko yoyote ya kisera katika kuimarisha sekta binafsi ambayo ndiyo injini ya innovation na industrial development katika nchi yetu.Tunachoshuhudia hivi sasa ni kwamba sekta binafsi imeandamwa na mzigo wa kodi na tozo nyingi holela pamoja na urasimu wakati wa kuanzisha biashara/kampuni hali inayopelekea kuwakatisha tamaa wajasiria Mali wa kitanzania.Njia za usafirishaji hususan ya reli iko taabani na hali hii imejitokeza wakati wa utawala wa JK,Njia ya reli ndiyo njia ya usafirishaji ya gharama nafuu sana ambayo ingeweza kuwasaidia wawekezaji wadogo wazawa kufanya shughuli zao kwa ufanisi lakini sasa wanalazimika kutumia njia ya barabara ambayo ni ya gharama kubwa sana.Naona niishie hapa kwa Leo!
 
Ujamaa sio source ya Umaskini wetu, Leo hii hakuna mahala nyerere kacheza kama Pele, kama suala la Ujamaa na Kujitegemea, Trust me tungekuwa kwenye worse situation kama Mzee Nyerere angetuharakishia Ubepari at those dayz,

Kuhusu Mkapa, sisemi.

SOURCE YA UMASIKINI Ni Elimu yetuuuuuuuu. Elimu yetu ni mbovu, tunaandaa waajiriwa, sio waajiri, tunaandaa watu Tegemez wa Ajira, watumwa, Very weak, yaan pamoja elimu kubwa, bila ajira si kitu.

Tunapuuza masomo ya Msingi kama Money Management kuanzia shule za awali. Watu hawajui ku invest, watu waoga wa biashara. Watu wanahaha kuweka Hazina for the Future they arent sure Of.

Mungu isaidie NCHI hii ibadili mitaala ya Elimu. WaTanzania tumejaa Porojo.
 
Tanzania has outperformed and replaced Kenya as the favourite investment destination for corporate entities in the East Africa community.

Speaking to journalists in Dar es Salaam yesterday on Rand Merchant Bank's (RMB) 2013 Global Investment Banking 2013 report the Executive Director of Tanzania Investment Centre (TIC), Juliet Kairuki, said Tanzania, has also retained its position in the list of top 10 destinations in Africa.

"This is a very big achievement for our country under the leadership of President Jakaya Kikwete," Kairuki said, adding that Tanzania has been ranked ninth in Africa while Kenya held 10th position and South Africa is leading in the continent.

She said Tanzania and Kenya are the only other East African countries to be included in the list of top ten destinations for corporate investment in Africa and that they are the most attractive for private capital investment in general and in particular, corporate organisations.According to the TIC boss, Rwanda, though excluded from the list of top 10, has improved its attractiveness and is ranked 12th while Uganda is positioned number 16th and Burundi number 41th.

"The investment attractiveness scores are determined by a multiplicative combination of market size (GDP), economic growth forecasts over the next five years and an operating environment index," she explained.

Kairuki said the report by itself can prove beyond doubt that Tanzania was really committed to improve her investment environment.

"Seven of the world's top ten fastest growing economies over the next six years will emerge from Africa, Tanzania is listed as one of them," she said, quoting the report as saying that Guinea, Mozambique, Zambia, Ivory Coast, Rwanda, and Nigeria were also earmarked.

Since 2002 Africa has grown in economic size by treblefold and is expected to rise by 5.8 per cent in 2013 bolstered by the continent's emerging middle class who are contributing towards consumption and private investment especially in the services sector.


"Tanzania's estimates of recoverable natural gas reserves of 28ctf are valued at approximately US$150bn- six times larger than the our prevailing market size," reads the report, adding that of the nine confirmed gas fields four are on shore and nine off shore.

The report further notes that the country's investment into extractive and export infrastructure should support total productivity gains in the interim but a boost to the current account will only be apparent by 2020.

"Tanzania receives an average rating for its operational environment on the "Composite Operating Environment Index". Other countries with an average score include Kenya, Ethiopia, Uganda, Zambia," the report says.

 
Duuu Kumlinganisha Ben na jk ni kama mbingu na ardhi mkapa alikulikuwa kichwa bwana potelea makande huwezi mlinganisha na wauza sura.

Ni kweli hata mwendawazimu hawezi kuwalinganisha huyo na huyu, angalia maajabu ya Kikwete
- Aliyejenga mabarabara mara mbili ya idadi ya kilomita alizozikuta
- Aliyejenga madaraja makubwa sana 3 kati ya 5 aliyoyaahidi Nyerere
- Aliyeleta vyuo vikuu zaidi ya 44 ? mara 4 zaidi ya waliowakuta
- Aliyezesha wanafunzi 160,000 wa vyuo vikuu mara 4 zaidi ya aliowakuta
- Aliyejenga chuo kikubwa kuliko vyote EAC.
- Aliyejenga chuo kikubwa cha sayari kwenye ukanda huu cha Nelson Mandera
- Aliyepeleka sekondari hadi kwenye kata
- Aliyezalisha umeme wa mega wait 1500 mara mbili zaidi ya alioukuta
- Aliyeanzisha umradi wa kupeleka umeme vijijini?
- Aliyewaunganishia umeme toka 12% alipochukua madaraka mpaka 21%
- Anayejenga bomba la gesi kubwa toka Mtwara hadi DAR
- Anayejenga barabara ya mabasi yaendayo haraka.
- Anayekubalika na viongozi wote wakubwa wa Dunia hii
- Aliyeanzisha hospital ya tiba ya moyo nchini
- Aliyeanzisha hospital ya kisasa ya kinywa
- Aliyesogeza huduma za afya karibu na wananchi
- Aliyejenga miundombinu ya afya
- Aliyeboresha huduma ya maji nchini
- Aliyeongeza ajira nchini
Amethubutu kufanya mambo mazuri ambayo awali hayakuwa kwenye ilani ya chama chake kama vile Katiba mpya, ujenzi wa UDOM na ripoti ya CAG kujadiliwa bungeni
 
Back
Top Bottom