usijali.wapo watakaokutongoza wewe, kazi kwako kusema ndiyo au hapana huku umeinama chini unauma uma vidole
habari zenu wana jf, mimi ni kijana wa miaka23 nipo muhimbili nachukua degree ya udaktari mwaka wa kwanza, naombeni ushauri kwa hili, mimi siyo mcheshi na pia nakosaga stori za kupiga napokuwa na wanawake especially naowapenda, kwa mtindo huu ntapata wa kunipenda kweli?