trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
- Thread starter
-
- #101
yani nimejaribu kusoma sijaelewa,sijui ata kilichomliza mkuu,aliomuelewa pls
Hivi kweli umejua mpenzi/mchumba anatembea na mume wa mtu halafu na wewe unaoa? Mwanamke kama huyu hata akiolewa hawezi kuacha mabuzi or sugar dadies!!!! Hata nikupende kama Lulu but once nimegundua na confirmation 100% kuwa una jamaa tofauti na mimi, nakupiga chini bila huruma. Yaani nitablock hadi namba zako za simu kabisa!!
Mkuu Zogwale niliingia mwenyewe. Nikadhani ningewaachanisha..
Lakini ndiyo hayo yaliyonikuta...
umejuaje kama alitubu? kwani mtu akifa ndiyo hairuhusiwi kushare experience ya mabaya yake? tuachane na taboo zisizokuwa na maana.
Mkuu trachomatis hujasikia msemo kuwa "mahawara" hawaachani? Maana huyu mchumba/mke wako alijua kabisa yeye ni hawara kwa yule mume wa mtu. Aise wanaendelea!!! Wewe kaza moyo songa mbele yaishe maana umeyakubali mwenyewe.
Duh! sasa nimeelewa kidogo, kumbe na wewe uliingilia penz la watu?! Mwosha huoshwa kaka!! wala sikuonei huruma!! jifunze
Nilishapita huko kote,ni miaka imepita,na mpaka hivi ninapoandika,hayuko duniani kama miaka miwili sasa..
We nawe mbona hueleweki???baada ya kumwona huyo mzee akiwa na mkewe ukatoka mbio kwenda baa kunywa huyo mtarajiwa wako ukamwacha na nani pale kariakoo???sijakupata.Takribani miaka kadhaa iliyopita,nilikuwa na galfriend ambaye alikuwa akitoka na mzee mmoja mwenye fedha zake. Ilichukua akili,muda na gharama kidogo kumuachanisha na huyo baba,kwa taaluma ni Eng.
Nilipiga sana simu,nilienda baa alizokuwa anakunywa,na kumsihi asimfuate tena yule dada.Alikubali.Akanishauri nimuoe kabisa,nami nikamwambia,ndiyo lengo langu.
Ndipo nilipotangaza nia ya kufunga pingu za maisha na yule dada,vikao vikaanza pale Riverside.
Jumamosi moja kabla ya Jumamosi ya harusi,mi na mchumba wangu tulienda duka moja maarufu kwa mapambo ya maharusi na sherehe kama hizo,ni K'koo jirani na mlango wa magari yanayoingia shimoni..
Nikiwa busy naangalia mapambo,mchumba wangu akiwa na furaha na bashasha tele, akanistua nigeuke,na nilipogeuka,hamadi uso kwa uso na Eng na midevu yake,akiwa na mkewe!
Nilimsalimia ye na mkewe na nikatokomea baa iitwayo Palace nikaanza kunywa kwa hasira.
Nilikumbuka taabu niliyopata kuwaachanisha,nililia na nikamwadithia mbaba wa kaunta..
Takribani miaka kadhaa iliyopita,nilikuwa na galfriend ambaye alikuwa akitoka na mzee mmoja mwenye fedha zake. Ilichukua akili,muda na gharama kidogo kumuachanisha na huyo baba,kwa taaluma ni Eng.
Nilipiga sana simu,nilienda baa alizokuwa anakunywa,na kumsihi asimfuate tena yule dada.Alikubali.Akanishauri nimuoe kabisa,nami nikamwambia,ndiyo lengo langu.
Ndipo nilipotangaza nia ya kufunga pingu za maisha na yule dada,vikao vikaanza pale Riverside.
Jumamosi moja kabla ya Jumamosi ya harusi,mi na mchumba wangu tulienda duka moja maarufu kwa mapambo ya maharusi na sherehe kama hizo,ni K'koo jirani na mlango wa magari yanayoingia shimoni..
Nikiwa busy naangalia mapambo,mchumba wangu akiwa na furaha na bashasha tele, akanistua nigeuke,na nilipogeuka,hamadi uso kwa uso na Eng na midevu yake,akiwa na mkewe!
Nilimsalimia ye na mkewe na nikatokomea baa iitwayo Palace nikaanza kunywa kwa hasira.
Nilikumbuka taabu niliyopata kuwaachanisha,nililia na nikamwadithia mbaba wa kaunta..
Mbona kisa chenyewe ni chepesi sana kijana? Sasa hapo kilichokufanya ulie ni nini?
Then unataka na sisi tulie kwenye kisa kama hicho ama ulikua unamaanisha nini?
We nawe mbona hueleweki???baada ya kumwona huyo mzee akiwa na mkewe ukatoka mbio kwenda baa kunywa huyo mtarajiwa wako ukamwacha na nani pale kariakoo???sijakupata.
Dah pole sana trachomatis, ila afya mlipimana kabla hamjaoana? Ni vizuri kuishi na mke ina maana katika maisha mkuu wangu.
Watu tunatofautiana kufikili aisee, mimi nililie mwanamke? Unambembeleza mwanaume mwenzio akuachie? Huyo ni mwanamke tena? Oooops!!!!!!
Aa wapi.. wakati wa ujauzito alipima.. Kabla ya kuoana mmh...wala!