Mi naona kila mtu agawanyiwe

Mi naona kila mtu agawanyiwe

Nyamuleha jr

Senior Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
185
Reaction score
65
Minaona kilamtu agawanyiwe sehemu yake kuliko hivi wachache wanavyofaidi wenyewe
Nipewe gold zangu 2 silver 2 tanzanite zangu 2 tembo wangu 2 nyumbu wangu 2 shama langu ekari 2 sijui bahari tutagawanaje pale, misitu na nyuki nipewe sehemu yangu siachi kitu...!
 
mi wanipe vyumba 2 ikulu, meli 2 ghorofa 2 kariakoo, hama 2 na vijisent kama bilion 2 tu
 
Yes kila mtu apewe afuge kitu chake kama ni tembo kila mtu apate dume na jike alinde mwenyewe.Miwanipe vitwiga viwili kavulana na kaschana na barabara kama Km 2 pale kibaha
 
Mimi nipewe pundamilia wa 2, swala wa2, benki 2. Wengine wahini kabla havijaisha ukija ukapewa nyoka wa 2, na chura wa 2, shauri yako.
 
Mie nmewahi ka-tower kamoja kati ya vi-twintower hapo posta,katembo kamoja kajike kenye mimba,katofali kamoja ka gold na kamoja kasilver,nyerere road na kakituo kamoja ka polisi sina uroho wa mali mie.
 
mie wanipe hako katwintower kalikobakia akishapewa mwenzangu hapo na kale kakituo cha basi mwenge na nguchiro 2 snaga swaga mingi!!
 
ah! mimi sina tatizo wanipe kaport kadasalaam tu kananitosha... sina makuu mie!!!
 
Me wanipatie acount no za kikwete,bakheresa tu zinatosha kabsaaaa

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
me waknpa kaairpot ka kwendea mbele alaf katawi ka bank ka kikos ka moja ka jesh kwa atae leta kabifu bac kuna tatzo kwan..?
 
Back
Top Bottom