Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,355
Ndugu zangu,
Anatafutwa mtu wa kuhudumia wasiojiweza watatu wanaokaa katika familia moja. Wote ni wa jinsia ya kike. Kazi yake ni kuwapa basic needs...kuwaogesha, kuwapikia chakula na kuhakikisha wanakula, kuwaweka safi na kulala vyema.
Walinapoishi ni katika mkoa wa Kilimanjaro wilayani Rombo. Ni kwenye familia iliyosimama katika imani ya Kikristo yenye kipato cha wastani.
Anayetafutwa ni mwanamke....awe matured na mwenye upendo akiwa na mtoto haijalishi, yeye na mtoto wake watapatiwa hifadhi na huduma zinazostahili. Awe na upendo na uvumilivu kwa wasijiweza.....akiwa na imani ya Kikristo atakuwa na added advantage.
Kwa yeyote anayeona anaiweza au ana ndugu/jamaa/rafiki anayoiweza kazi hii naomba anitumie private message au anitafute kwa namba 0763 534343.
Ahsanteni na Mungu aendelee kuwabariki
Anatafutwa mtu wa kuhudumia wasiojiweza watatu wanaokaa katika familia moja. Wote ni wa jinsia ya kike. Kazi yake ni kuwapa basic needs...kuwaogesha, kuwapikia chakula na kuhakikisha wanakula, kuwaweka safi na kulala vyema.
Walinapoishi ni katika mkoa wa Kilimanjaro wilayani Rombo. Ni kwenye familia iliyosimama katika imani ya Kikristo yenye kipato cha wastani.
Anayetafutwa ni mwanamke....awe matured na mwenye upendo akiwa na mtoto haijalishi, yeye na mtoto wake watapatiwa hifadhi na huduma zinazostahili. Awe na upendo na uvumilivu kwa wasijiweza.....akiwa na imani ya Kikristo atakuwa na added advantage.
Kwa yeyote anayeona anaiweza au ana ndugu/jamaa/rafiki anayoiweza kazi hii naomba anitumie private message au anitafute kwa namba 0763 534343.
Ahsanteni na Mungu aendelee kuwabariki