Mhudumu wa stationery anahitajika

Mhudumu wa stationery anahitajika

Joined
Aug 2, 2012
Posts
10
Reaction score
8
anahitajika msichana wa umri wa miaka 18-25 kufanya kazi stationery iliyopo sinza kijiweni kuanzia saa 1 asb hadi 1 usk
mshahara laki 1 tu.hatuto nauli wala chakula utaongezwa baadae ...anayejua anashauriwa kuomba hata asiyejua ila yupo tayari kujifunza.
tuma cv na passport kwenda mimiwewe88@yahoo.com
pamoja na namba yako ya simu mwisho tarehe 17/10/2014
ahsante
 
Kwa mshahara huo, mtu heri awe Changudoa. Masaa 12 kazini hata Chakula hakuna? Labda umuwekee na kitanda kabisa awe anaamkia ofisini. Respect kwa mbele sana.
 
Alafu bado umtongoze huyu 18-25 na salary hilo, aiseeeeee
 
We mleta mada hebu tufanye hesabu rahisi tuu......msichana anakaa temeke nauli sh 1000 kuja na kurudi kajibana sana kula kuanzia chai na cha mchana kwa sinza hapo si chini ya sh3000, jumla sh4000 ambapo ukiizidisha kwa siku thelathini ni sh 120000.....wewe unampa sh 100000 huoni kama utamtia madeni mtoto wa watu??
 
Back
Top Bottom