revocatus v
New Member
- Jul 4, 2021
- 1
- 2
Mtu aliyehitimu diploma ya kada ya Pharmacy anaweza kujiendeleza kama MD (Medical Doctor) katika shahada?
Nilikuwa naomba mwenye ufahamu anisaidie.
Nilikuwa naomba mwenye ufahamu anisaidie.
Acha kupotosha watu we c.o, huyo radiologist unamjua?Hapana hapana haiwezekani pharmacy inambana mhitimu kuendelea na facult nyngne lakini kama angekua Clinic officer anawez kujiendeleza kusoma pharmacy,Medical lab,radiologist, n.k n.k
Yani hata huyo Clinical officer hawezi kusoma hizo kozi zingine.Hapana hapana haiwezekani pharmacy inambana mhitimu kuendelea na facult nyngne lakini kama angekua Clinic officer anawez kujiendeleza kusoma pharmacy,Medical lab,radiologist, n.k n.k
Acha kupotosha watu we c.o, huyo radiologist unamjua?
Hata hiyo ya degree izo za sayansi kusoma kozi yeyote ya afya nayo imeondolewa. Mwisho ilikuwa ni 2019.Yani hata huyo Clinical officer hawezi kusoma hizo kozi zingine.
Requirements zimeweka in a way such that hamna kuingiliana fani.
Labda wale waliosoma Degree za science zenye masomo ya Chemistry, Biology wanaweza kusoma tena MD na kozi zingine za Afya.
Aaah Duh! Kweli nyakati zinabadilikaHata hiyo ya degree izo za sayansi kusoma kozi yeyote ya afya nayo imeondolewa. Mwisho ilikuwa ni 2019.
Sahivi ni kupita njia uliyopitia humo humo..kozi za afya zina limitations nyingi sana kwa sasa.
Hatari sana, C.o mwenye D mbili anajaribu kujitutumua kuwa anafit kila pahala hata pale 🦅wings na 🌳🌳koleji.
Heheee..wachache wamekuelewa..ila si life tu..wacha tuendelee kuishi hivyo hivyo tutafika tu.Hatari sana, C.o mwenye D mbili anajaribu kujitutumua kuwa anafit kila pahala hata pale wings na koleji.
Kaw sasa mtu C.O anasomea nini degree ?Yani hata huyo Clinical officer hawezi kusoma hizo kozi zingine.
Requirements zimeweka in a way such that hamna kuingiliana fani.
Labda wale waliosoma Degree za science zenye masomo ya Chemistry, Biology wanaweza kusoma tena MD na kozi zingine za Afya.
Doctor of Medicine.Kaw sasa mtu C.O anasomea nini degree ?
Hakuna kitu kama ichoHapana hapana haiwezekani pharmacy inambana mhitimu kuendelea na facult nyngne lakini kama angekua Clinic officer anawez kujiendeleza kusoma pharmacy,Medical lab,radiologist, n.k n.k
anasoma Medical Doctor (MD) 5years. Lakin endapo pass za Advance znaruhusu au GPA ya diplomaKaw sasa mtu C.O anasomea nini degree ?
Anatakiwa we na vigezo vyote yaani advance na diploma au hata akiwa na diploma yake na G.P.A inayotakiwa anaenda ?anasoma Medical Doctor (MD) 5years. Lakin endapo pass za Advance znaruhusu au GPA ya diploma
mbavu zangu daaaah.Hatari sana, C.o mwenye D mbili anajaribu kujitutumua kuwa anafit kila pahala hata pale wings na koleji.
GPA ya Diploma.Anatakiwa we na vigezo vyote yaani advance na diploma au hata akiwa na diploma yake na G.P.A inayotakiwa anaenda ?
Anatakiwa awe na Vigezo vyote.Anatakiwa we na vigezo vyote yaani advance na diploma au hata akiwa na diploma yake na G.P.A inayotakiwa anaenda ?