Kabaizer
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 504
- 64
Kwanza kabisa nawasalimia!
Mimi kijana ambae nimemaliza chuo cha ualimu mwezi mei mwaka huu, nilikua naomba msaada wenu wakuu nipate japo tempo wakati nikisubiria matokeo yangu.
Nina uwezo wa kufundisha awali mpaka darasa la tano masomo yote, na kama unahisi unakibarua chochote ambacho kinaweza kunifaa nahitaji msaada wako.
Nawatakia majukumu mema na asubuhi njema, kwa mawasiliano 0653 957095!
Mimi kijana ambae nimemaliza chuo cha ualimu mwezi mei mwaka huu, nilikua naomba msaada wenu wakuu nipate japo tempo wakati nikisubiria matokeo yangu.
Nina uwezo wa kufundisha awali mpaka darasa la tano masomo yote, na kama unahisi unakibarua chochote ambacho kinaweza kunifaa nahitaji msaada wako.
Nawatakia majukumu mema na asubuhi njema, kwa mawasiliano 0653 957095!