Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,147
- 88,822
Mkuu KILIMO C kazi ya MASKINI,,,,!!
Kukodi shamba, Mbegu, Mbolea, Kukaa huko kunahitaji pesa... Dah
Mkuu KILIMO C kazi ya MASKINI,,,,!!
mhh juz tu unalalamika ivo! Me mwenzio tangia July 2011 nw napika chapat na maandaz napeleka mahotelini! Huku napata senti zakurolea copy za cv...pole
kwanini utafute kazi hata ya kuuza genge? plz focus kwenye taaluma yako na usikate tamaa. mwenyezi mungu akufanyie wepesi inshallah.
wakuu mimi ni mhtimu wa shahada ya sheria nmemaliza june mwaka huu lakini hadi leo hii nmetafuta kazi hata ya kuuza genge nmekosa wakuu na maisha ya mtaan n magumu sana ndugu zangu naomba mwenye uwezo anisaidie 0767387145 au n pm
wakuu mimi ni mhtimu wa shahada ya sheria nmemaliza june mwaka huu lakini hadi leo hii nmetafuta kazi hata ya kuuza genge nmekosa wakuu na maisha ya mtaan n magumu sana ndugu zangu naomba mwenye uwezo anisaidie 0767387145 au n pm
ukianza mdogo mdogo ukiwa na malengo inawezekanaMkuu KILIMO C kazi ya MASKINI,,,,!!
Mkuu pole sana. Tumepitia huko na unatakiwa uwe na uvumilivu wa hali ya juu na ujitume sana, Kama wakuu wengine walivyosema jitahidi hata volunteering, na nina uhakika kuna siku utatoboa. Ukishindwa kabisa basi tafuta nauli ya kuja kubeba boksi. Nyani Ngabu raisi wetu atakupa more detailswakuu mimi ni mhtimu wa shahada ya sheria nmemaliza june mwaka huu lakini hadi leo hii nmetafuta kazi hata ya kuuza genge nmekosa wakuu na maisha ya mtaan n magumu sana ndugu zangu naomba mwenye uwezo anisaidie 0767387145 au n pm