ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,269
- 9,995
Inaumiza sana mtu umejichanga ujenge upumzike na mambo ya kodi na manyanyaso ya wenye nyumba unakuja kutana na tapeli anakula hela zako km zake ndo maana wengine wanaenda kuloga tu.
ni maumivu makubwa sana, hela zenyewe zakuunga unga hiziInaumiza sana mtu umejichanga ujenge upumzike na mambo ya kodi na manyanyaso ya wenye nyumba unakuja kutana na tapeli anakula hela zako km zake ndo maana wengine wanaenda kuloga tu.
Kumbe ni mmakonde?
kama angekuwa Mmaonde angesemwa tu kuwa ni mmakonde. kama ambavyo Rais alisema ni Mzanzibar sidhani kama alikuwa anabagua.Anaweza kuwa mzaliwa wa makonde plateau kama Mzee Dewji mnyaturu wa Singida, wapo wengi hivyo tutumie hoja bila kuingiza ubaguzi
Hiyo kesi yenu rahisi sana serikali itawapa maeneo mengine kama fidia. Jeshi ni suala la ulinzi wa taifa na ardhi ni mali ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.MImi na wenzangu wengine tuna mgogoro na Jeshi JWtz , Jeshi wanadai ni eneo lao la mafunzo, wakati wanakuja waliomba kwa wenyeji eneo la mazoezi sasa wanasema la kwao! tupo wananchi zaidi ya 100 na zaidi na Tushafungua kesi...
tushajikusanya na kupeleka malalamiko yetu , file lipo miezi sasa bado hatujaitwaJikusanyeni mlivyo nendeni wizarani mumuone Jery silaa. Atawasaidia.
Tunafanana tabia, mie ni lazima nirekodi video, yaani lazima niwe na video, nitafanya hata ujasusi wa FSB nirekodi.Mie nikiwa nafanya ishu za malipo (Malipo serious) lazima nivizie angle fulani nipige picha MHUSIKA au Ofisi kisiri siri.
Pia transfer ya hela nalipia kwa SimBank ili nibaki na vielelezo solid..
Mazungumzo huwa nayahifadhi kwa ajili ya follow up... Dunia ya Sasa aisee ni kuishi kisungura.. poleni sana.
Hapo mawili hawaiti kwa sababu hakuna maslahi(naogopa sana viongozi wafanya kazi mbele ya kamera, na siwaamini.) ama la ni kweli mezani kwake kuna kesi nyingi nyie bado hajawafikia.tushajikusanya na kupeleka malalamiko yetu , file lipo miezi sasa bado hatujaitwa
Nendeni lazimisheni kumuona waziri mkiona mmepeleka faili muda mrefu hamuitwi mjuwe huyo muhindi ana watu wake hapo wizarani anawapa hela wanashikilia hilo faili waziri asilione. Nakuhakikishia waziri hajui lolote kuhusu ishu yenu mpaka sasa.tushajikusanya na kupeleka malalamiko yetu , file lipo miezi sasa bado hatujaitwa
Mtandikeni chuma shetani huyo, au mnaogopa ,Habari ndugu zangu, nimekutana na utapeli wa kiwanja maeneo ya Kisota Kigamboni.
Mpaka sasa nipo njia panda kupata haki yangu pamoja na wahanga wenzangu zaidi ya 10, ambao tumenunua
viwanja hivyo kwa nyakati tofauti tofauti bila kujuana., ni zaii ya 300m tunataka kutapeliwa, maana viwaja maeneo yale bei ipo juu.
Kwa kifupi tulinunua viwanja hivyo katika kampuni nne tofauti zinazomilikiwa na mhindi mmoja anayejulikana kama SYED ABBAS RIZIV jina maarufu anaitwa ABBAS
Majina ya kampuni zake anazozitumia katika utapeli ni
1) Interflow commercial (T) Limited
2) Rubab Investment
3) Jasman East Africa limited
4) Multimodal transport Africa lImited
Kipindi tunanunua tulifuata taratibu zote za manunuzi, kwa sababu viwanja hivyo vilikuwa na hati, tulienda kufanya search manispaa , na kupita kila sehemu palipohitajika, hadi tukafikia kupata approval ya manispaa katika harakati za kufanya transfer, yani viwanja tumepewa na hati original kabisa na tulizikagua na kuna baadhi walizibeba hadi wizarani zikakaguliwe na zilitambulika ni halali
Katika kipindi cha ununuzi kuna baadhi yetu tulifika katika ofisi za kampuni husika kwa kuelekezwa na madalali, na ili ufike hapo ofisini lazima kuwepo appointment, bila hivyo huingii.
Wakiwa na appointment na wewe, unakuta ofisi kabisa na bango la kampuni, mnazungumza biashara, ila ikifika mahali kwenye malipo, basi mhusika bwana Abbas anasema kampuni tunaifunga kwa hiyo anakupa account nyingine tofauti na ya kampuni ili ufanye malipo, ili kujiweka safe side baadhi yetu walitaka Abbas mmiliki wa kampuni hizo ku-sign, kwamba anaruhusu malipo yafanyike katika accout tofauti za kampuni
Kwa utaratibu huo tumejikuta wengi tukinunua na wengine kununua kupitia kwa mwakilishi wake anayefahamika kama Juma Nkumbi
Mgogoro unaanza baada ya huyo Abbas kukamilisha mauzo ya viwanja vyote. Jamaa anaruka futi 100 kwamba hajauza kiwanja chochote ili hali, kwenye mauziano baadhi alikuwepo mwenyewe na mauziano mengie alikuwa akisimamia muwakilishi wake
Jamaa ili kutuvuruga akaenda kuwekea caveat viwanja vyote, akizuia transfer zote na hapo akafungua kesi kimya kimya bila kutujulisha ili asikilizwe upande mmoja.
Kipindi anaweka mazuio kila mhanga alikuwa anahangaika kivyake ndipo tukaanza kujuana ni kundi kubwa la watu analichezea mchezo na ndipo tukagundua kwamba kuna kesi zishafunguliwa ya kila mmoja
Baada ya kukuta tumefunguliwa kesi kila mmoja wetu hapo ndipo tuka-organize iwe kesi moja, na jamaa alipoona kesi inamshinda, akaanza visa vya kuchelewesha kesi kuanza kusikilizwa, kila siku anakuja na jipya maji yalipo fika shingoni, kesi yenyewe akaifuta kabisa ila caveat/zuio la kuendelea na transfer hakulitoa.
Kutokana na kuifuta kesi hiyo, ikabidi sasa tumshitaki yeye, why anaweka mazuio ili hali na kesi kashafuta. Baada yakuona tumemfungulia kesi amekuja na sababu tele mahakamani akizuia kesi tuliyomfungulia isisikilzwe, yani anavuta vuta muda, na haoneshi nia ya kumaliza kesi na sisi tum- stack zaidi ya mwaka na miezi kadhaa
Visa nje ya mahakama, anaweka walinzi wengi kwenye maeneo yetu, na hata walioanza ujenzi materials zimeanza kuoza, ni hasara kubwa. Anatusumbua na kututesa watu wengi bila mashiko.
Tumeandika barua nyingi kwa vyombo husika wachunguze hizi kampuni zake maaana zimekaa kimichongo, hazilipi kodi, yani kampuni zote zinatumia ofsi moja, na bango la ofisi linabadilika kulingana na mteja wa siku hiyo, na ofsi inafunguliwa kwa appointment maalum
...............
Katika kufuatilia tumegundua jamaa ana kesi nyingi zinazofanana na hizo, na pia ameshatangaza hati zake zimepotea katika magazeti ya serikali, ili hali sio kweli hati tunazo sisi
.....
Ombi langu pamoja na wenzangu , tuanomba jambo hili mliangazie ikiwemo wawakilishi wa vyombo husika vya ardhi, takukuru, TRA na hususani mheshimiwa waziri ambae tumeshafanya jitihada za kumtafuta bila mafanikio , ili aliangazie suala hili kwani sio suala la mtu mmoja, linagusa zaidi ya watu kumi , hivyo kuwa kero kubwa kwa sisi kama wananchi
makampuni haya manne yachunguzwe vizuri , inaonekana yameanzishwa kutapeli na kusumbua wananchi
Majina ya kampuni ni
1) Interflow Commercial (T) Limited
2) Rubab Investment
3) Jasman East Africa limited
4) Multimodal transport Africa lImited
Mtu huyu anaetusumbua ni mhindi anaejulikana kwa jina la ABBAS na hata mawasiliano yake ni 0778 999 999 na msaidizi wake ni 0754 022 897
Hawa watu hawana nia njema na sisi wanatupiga chenga kila siku jambo lisiishe, na wengi hatujui hatima yetu maana viwanja tumenunua ili kujistiri na familia zetu , ila mwaka sasa umeisha jamaa wanatukimbia kimbia mahamani
.....
Natanguliza shukrani, naomba wahusika walifuatilie hili maana ishakua kero ya wananchi
Natanguliza shukrani, Asanteni sana, naombeni ushirikiano wenu
Au faili la hayo malalamiko "linafichwa" na maafisa wa hapo ardhi ili lisimfikie waziri, maana pia kuna uwezekano mkubwa "kanjibai" ana watu wake hapo ardhi, maafisa ndo wanamlinda.Hapo mawili hawaiti kwa sababu hakuna maslahi(naogopa sana viongozi wafanya kazi mbele ya kamera, na siwaamini.) ama la ni kweli mezani kwake kuna kesi nyingi nyie bado hajawafikia.
Asante sana mkuu, Tutafanya na hilo la direct, maana tumeanzia kwa mkurugenzi, na ngazi zoote , mpka takukuru nao kimnya. Ndo mana tumeanza weka public wakuu walioneAu faili la hayo malalamiko "linafichwa" na maafisa wa hapo ardhi ili lisimfikie waziri, maana pia kuna uwezekano mkubwa "kanjibai" ana watu wake hapo ardhi, maafisa ndo wanamlinda.
Ishu kubwa hapo ni kumfikia waziri moja kwa moja, yaani direct. Inatakiwa wapate namna ambayo itawawezesha kumfikia mhe waziri directly, eidha kwa kupitia mawasiliano yake binafsi (eg kumtumia hayo malalamiko kwenye e mail yake binafsi, au kwa WhatsApp kwa namba yake binafsi) au kwa kuwa connected na mtu wake wa karibu.
Mkuu taheltz jaribu kumcheki Mh Jerry Silaa kwa namba yake hii 255758855850, au e mail yake j.silaa@gmail.com
Pia, unaweza tumia fomu hii hapa (nimeambatanisha), ambayo ni ya wizara ya ardhi kujaza malalamiko yako, na kuituma kwenye e mail ya waziri ya ofisi war@ardhi.go.tz. (Japokua hii pia inaweza fichwa na maafisa wa hapo wizarani kama anao wanaomlinda).
Nashauri kwa sasa utumie multiple ways za kumfikia Waziri, ili yoyote itakayojibu ifanikishe kumfikia. Njia pekee ya hili suala kupata ufumbuzi ninayoiona ni kwa hili jambo kufanyiwa kazi na Mh Silaa yeye mwenyewe direct, otherwise hamtoboi. Pole sana mkuu
Nashangaa wati wengi mnatapeliwa na muhindi. Si wamtafutie vibaka wamlawiti tu. Muhindi njaa huyo anawasumbua.Poleni sana.
Inauma sana Mhindi gabacholi anatoma India anakuja kusumbua wananchi Tanzania. Ingekuwa huko kwao wangeshamlamba risasi.
Watanzania ni waoga sana. Inabidi kufanya maamuzi magumu wakati mwingine kama Hamza.
Haya mambo yanachosha sana