Zimba
Senior Member
- Jul 30, 2011
- 113
- 14
Kusingekuwa na haki za binadamu ningeshauri akobolewe, asagwe sembe tumtumie kwa ugali. Kwa kuwa sheria zipo naamini vyombo husika vitafanya kazi yake, japo hilo nalo halitawezekana, ndo hivyo tumezoea, maumivu ni kawaida yetu.Naunga mkono hoja ya kila mkoa kuwekewa jiwe kubwa la panado na diclofenac kila mwenye maumivu anapitia kulamba.Japo naamini mawe hayo yatakuwa yanakwisha kila siku.