Mkuu hawa watu ndio maana Mtikila alitaka kuwashughulikia. Wanakula taratibu wala hawajionyeshi!! Hawajengi nyumba hapa TZ wao wanwekeza Canada na UK. Wanajifanya kuendesha viduka vya kuuza viungo vya pilau kumbe wanatupiga mapesa yetu kwa kushirikiana na viongozi wetu. Wanajifanya wanatafuna tambuu huku wamevaa hovyo kumbe wanamung'unya mali zetu!! Mimi si mbaguzi lakini siwapendi wao na viongozi wetu wanaoshirikiana nao.
Ndiyo maana Iddi Amin aliwamindi sana,biashara zao nyingi zimekaa ki-uwizi uwizi na utapeli,na viongozi wetu wanapenda kula nao