mhhhhh

mhhhhh

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
1512537_707055695994119_718388142_n.jpg
 
Sijaelewa muujiza uko wapi hapo.naomba ufafanuzi zaidi. Au ngoja nisubiri wenye uelewa zaidi waje labda nipata picha.

Cc kabanga
 
Maisha hayo ni humu nchini tu wenzetu haya kwao miujiza ila tz kawaida....wee hujiuliz vijana tunatoka mbagala tunafanya kazi kwa wahindi tunalipwa mshahara 100, 000 nauli 2000 kila siku, kodi ya chumba 30, 000 kwa mwezi na kila siku tunakula chakula cha buku tukiwa kazi hebu tengeneza bajeti nione
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom