BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
ktk hali ya kutapatapa ccm imeamua kurudia kampeni ktk sehemu zinazoonekana ku support upinzani. Tatizo ni kuwa mwaka huu haswa wa vijijini wamechoka na ccm!tujiulize mimi na wewe tutapata wapi sh 40 000 za ku renew driving license,kutoka ada ya zamani sh 10 000 Motor vehicle license mwaka 2000 ilikua sh 20 000 leo sh 150 000 mpaka laki 3. licha ya bei ya dizeli.etc yapo mengi sana ya kuumiza kichwa