Mapenzi ya mbali yashanichosha sijafika mbali mienzi kadhaa tooo. Naogopa kumwambia nimechoka siwezi tena sijui itakuwaje wadau ushauri. Si atanichukia maana kanambia hawezi kuowa tena nikimuacha. Kasema nitamuumiza sote tunasoma ila nchi tofauti mwenzangu afrika mie nje.sasa sijui itakuwaje mii siwezi nishachoka mapenzi ya simu na email. Wadau usahauri please nifanyaje si nitamuuwa mtoto wa watu au anadanganya maana tumependana on the phone and fb lakini tunajuana nyumbani