mhh nimechoka wala sijafika mbali?

mhh nimechoka wala sijafika mbali?

bidodo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
217
Reaction score
90
Mapenzi ya mbali yashanichosha sijafika mbali mienzi kadhaa tooo. Naogopa kumwambia nimechoka siwezi tena sijui itakuwaje wadau ushauri. Si atanichukia maana kanambia hawezi kuowa tena nikimuacha. Kasema nitamuumiza sote tunasoma ila nchi tofauti mwenzangu afrika mie nje.sasa sijui itakuwaje mii siwezi nishachoka mapenzi ya simu na email. Wadau usahauri please nifanyaje si nitamuuwa mtoto wa watu au anadanganya maana tumependana on the phone and fb lakini tunajuana nyumbani
 
Kaa utulie wewe mbona mimi niko mbali huko unakoita nje ya nchi zaidi ya mwaka sasa lakini mambo yanaenda.Kila mtu anaamini kuwa hakuna anae-cheat.Umepata wa kukuzuzua chuoni eti??utajuta!!Shauri yako.
 
Waswahili(wahenga) cio wapumbavu hata kidogo. Wana-uzoefu mzito wa muda mrefu kuhusu masuala ya maisha.Walisema,fimbo ya mbali hai-ui nyoka. Ulivyoumbwa utavutiwa na kukitumia kile kilichokaribu yako.Matumiz y cmu na email yko limited kwny mambo fulani tu.Kwa 7bu unadai umechoka,mwambie ukweli,mungu na mimi tunawpend wtu wakweli. Hawezi kufa,huko kutokuoa tena
ni defence mechanism tu ili u-come down.Uliumbwa alone fuata hisia zako,cio
dhambi,huvunji sheria.
 
I know ila mimi na yeye tumependana umo umo fb simu japo tunajuana home BHULULU ndo maana ata mie siwezi jua anafanyaje uko ila mie sina mwanamme nimechoka too
 
Last edited by a moderator:
Ok thanks for advise edi-kusini umeona ehh mapenzi ya mbali tabu nimeona. Nilijaribu nishashindwa njiani japo kijana ni mtu mzuri too kwa tabia.
 
Last edited by a moderator:
Hahaha duuuh maneno hayo hata kwenye kanga yapo...ukimuacha atatafuta mwingine ataoa tu na hv mpo mbali anamega wengine huku may be am not sure ila anakupa moyo hahahahah....fanya matendo kata mawasiliano nae as action speak so loud....atajisepesha fastaaa
 
Ok thanks for advise edi-kusini umeona ehh mapenzi ya mbali tabu nimeona. Nilijaribu nishashindwa njiani japo kijana ni mtu mzuri too kwa tabia.

Umekutana nae online, how secured are you?waweza subiri ikala kwako, la muhimu weka mguu moja nje mwingine ndani ili hata ukifika ukikuta hali sio usiumie
 
kwakweli 'fimbo ya mbali haiuwi nyoka. Haina kurremba hiyo. kama vipi mteme tu' . but first Listen to your heart before you tell him/her goodby.
 
ETI NIMECHOOOOKAAA!!!
Unadhani umekua wa kwanza kusoma nje eeh! .Hata mimi sa hivi ndo natoka ofisini so unaweza jua niliko (GMT-5) ila mpenzi wangu yuko Tz na tunawasiliana vzuri tu na tunapendana sana. Wewe nadhani hujitambui na unahitaji maombi. Kwani huko ulipo umeenda kutafuta mpenzi au ni maisha ndo yamekupeleka huko.Acha uzuzu wewe!!!
 
ETI NIMECHOOOOKAAA!!!
Unadhani umekua wa kwanza kusoma nje eeh! .Hata mimi sa hivi ndo natoka ofisini so unaweza jua niliko (GMT-5) ila mpenzi wangu yuko Tz na tunawasiliana vzuri tu na tunapendana sana. Wewe nadhani hujitambui na unahitaji maombi. Kwani huko ulipo umeenda kutafuta mpenzi au ni maisha ndo yamekupeleka huko.Acha uzuzu wewe!!!
Afadhali umenisaidia kumpa za uso,hata mimi nimemwambia amezuzuka sehemu,anataka kutufanya hapa watoto
 
Jamani hamutambui miii sijaja kutafuta maisha tooo ila mkaazi wa nje hata nikienda home naenda kusalimia too na kurudi.ndo maana naanza kuchoka maana sijaja huku kusoma tooo naishi huku na familia na maisha yangu sana huku Junior R
 
Last edited by a moderator:
mapenzi ya mbali yanachosha kama hayana malengo yoyote yale.mwisho wa yote,mmoja inabidi a sacrifice,am join mwenzie.hiyo ndio solution.kuliko siku zinaendamnyie ni mawasiliano tu.kama wewe umesema unaishi nje ya nchi.onana nae face to face mjadiliane
 
Jamani hamutambui miii sijaja kutafuta maisha tooo ila mkaazi wa nje hata nikienda home naenda kusalimia too na kurudi.ndo maana naanza kuchoka maana sijaja huku kusoma tooo naishi huku na familia na maisha yangu sana huku Junior R
Kwahiyo unachotafuta hapa ni nini hasa? Mimi naona sijakuelewa labda!
 
Last edited by a moderator:
Jamani hamutambui miii sijaja kutafuta maisha tooo ila mkaazi wa nje hata nikienda home naenda kusalimia too na kurudi.ndo maana naanza kuchoka maana sijaja huku kusoma tooo naishi huku na familia na maisha yangu sana huku Junior R
Kwani si ulimpenda au. Manake huku nje bwana kumpata choice yako utata kwelikweli. Nimeona na ninawaona wadada wengi wanahangaika sana. Sasa kwanini ulimkubali ilhali wewe unaishi nje. Mi nadhani unakitu zaidi ya haya maneno ya kusema umechoka. Kama kweli inatoka moyoni mwako poa fanya kwa kadri ya nafsi inavyokutuma. Kuwa nje au tz sio sababu ya uchovu au doc itakua vigumu yeye kupata labda , nauliza tu. Unajua kuna umri watu wengi wanakukimbiza lkn ukipita utaja chagua wa ajabu hadi nomaa kumuintroduce we acha tu . Tena kama mnafahamiana toka bongo huyo mbona mzuri mno. Ushauri wangu fuata nafsi yako inavyokutuma.
 
Mie mdada but asante kwa ushauri kwani wewe unaishi nje. Swali wewe unaonaje vijana wa nje unawaamini maana ukiishi kwa sie wadada wengi hatujui hasa wanaume na tabia zao maana kila mtu na maisha yake. Ablessed
 
Last edited by a moderator:
Mie mdada but asante kwa ushauri kwani wewe unaishi nje. Swali wewe unaonaje vijana wa nje unawaamini maana ukiishi kwa sie wadada wengi hatujui hasa wanaume na tabia zao maana kila mtu na maisha yake. Ablessed
una tatizo kubwa zaidi ya hili tunalolisoma hapa!
muulize aliyenielewa akwambie una tatizo gani!
 
Nieleze wewe hilo tatizo Ablessed ndo maana nimefika hapa
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom