Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,249
Yeye sasa hivi "Matawi ya juu" bana!.una tatizo kubwa zaidi ya hili tunalolisoma hapa!
muulize aliyenielewa akwambie una tatizo gani!
Yeye sasa hivi "Matawi ya juu" bana!.una tatizo kubwa zaidi ya hili tunalolisoma hapa!
muulize aliyenielewa akwambie una tatizo gani!
Mapenzi ya mbali yashanichosha sijafika mbali mienzi kadhaa tooo. Naogopa kumwambia nimechoka siwezi tena sijui itakuwaje wadau ushauri. Si atanichukia maana kanambia hawezi kuowa tena nikimuacha. Kasema nitamuumiza sote tunasoma ila nchi tofauti mwenzangu afrika mie nje.sasa sijui itakuwaje mii siwezi nishachoka mapenzi ya simu na email. Wadau usahauri please nifanyaje si nitamuuwa mtoto wa watu au anadanganya maana tumependana on the phone and fb lakini tunajuana nyumbani
Hahaha duuuh maneno hayo hata kwenye kanga yapo...ukimuacha atatafuta mwingine ataoa tu na hv mpo mbali anamega wengine huku may be am not sure ila anakupa moyo hahahahah....fanya matendo kata mawasiliano nae as action speak so loud....atajisepesha fastaaa
Mapenzi ya mbali yashanichosha sijafika mbali mienzi kadhaa tooo. Naogopa kumwambia nimechoka siwezi tena sijui itakuwaje wadau ushauri. Si atanichukia maana kanambia hawezi kuowa tena nikimuacha. Kasema nitamuumiza sote tunasoma ila nchi tofauti mwenzangu afrika mie nje.sasa sijui itakuwaje mii siwezi nishachoka mapenzi ya simu na email. Wadau usahauri please nifanyaje si nitamuuwa mtoto wa watu au anadanganya maana tumependana on the phone and fb lakini tunajuana nyumbani
Kaa utulie wewe mbona mimi niko mbali huko unakoita nje ya nchi zaidi ya mwaka sasa lakini mambo yanaenda.Kila mtu anaamini kuwa hakuna anae-cheat.Umepata wa kukuzuzua chuoni eti??utajuta!!Shauri yako.
naona unatafuta justification kwa ulichoaamua,kila la kheri!
Yeye sasa hivi "Matawi ya juu" bana!.
una tatizo kubwa zaidi ya hili tunalolisoma hapa!
muulize aliyenielewa akwambie una tatizo gani!
Keshapata pa kuutua mzigo ndio maana anapiga kelele kuwa amechoka. Angekuwa hajafika kituoni unadhani angetamani kushuka?
kwa hiyo hata msaada kwenye tuta anaomba sio!mradi ashuke!
af nimekumis mama!
Kwa kweli watu wengi wanaoishi nje hawaaminiki sana japo sio wote. Kama ulivyosema kila mtu na maisha yake, yaani nimewaona wadada kadhaaa wamekosa choice zao wameishia kuishi na watu ili mradi tu na wengine imeshindikana wanaishi wenyewe tu sio kwamba wanapenda hapana imeshindikana. Halafu kua na mtu unaemjua hadi kwao ni kitu kizuri japo sio lazima, wapo wanaokuja kugeuka baadae . Si unajua maisha hayana formula Angalia moyoni mwako nini hasa kimekukera kwa huyo mwenzako kwani si vizuri kuendelea kusisitiza kua huyo anakufaaa ilihali wewe umeshaona mapungufu yake . Mimi nadhani kuna sababu zaidi ya umbali dear, mtu yeyote utakaemchagua wewe ndie utakaeishi nae so chunguza moyo wako vizuri. Naomba unielewe vizuri sina maana vijana wote wanaoishi nje hawaaminiki . Nimetembea sehemu kadhaa ndio maana nikasema kuwa hawaaminiki hasa baada ya kukutana na madada kadhaa na kuwauliza wanaonaje maisha ya kuishi nje wakaniambia challenge walinazokutana nazo ni kupata wenzi wao . Kwa kweli waliongea kwa uchungu sana sasa huenda niliongea na group ambalo sio sahihi.Mie mdada but asante kwa ushauri kwani wewe unaishi nje. Swali wewe unaonaje vijana wa nje unawaamini maana ukiishi kwa sie wadada wengi hatujui hasa wanaume na tabia zao maana kila mtu na maisha yake. Ablessed
Kweli Ablessed nishawaona wengi wanoanzisha mahusiano huku yanakua hayatambulikani shagla baghla ila mie pia uyo jamaa simjui kwao walaa tabia sijui zikoje miaka tele tangu niondoke ndo mana nahisi mtihani maana mapenzi yetu ya kuandika hatujawahi onana tukasema nakupenda ingekua ivo maybe moyo wangu usingesita mii naona mapenzi ya kuonana naona tofauti na kupendana umo online naona