Anayeingia ikulu kwa kusafisha njia kwa kalamu akishaingia huko atatumia risasi kjiwekea makao
umemuona nabii mwingine huyu 'aliyejiuzuru', sasa ameingia huku kutafuta ushawishi wa vijana!WanaJf. Napenda kumtangaza Mh.Sumaye( waziri Mkuu mstaafu) kuwa ni nabii anayeishi katika kile alichosema wakati wa kinyang'anyiro cha kugombea urais mwaka 2005 hasa hasa kwa haya yanayoendelea hapa nchini.
Huyo Sumaye ni mnafiki mkubwa.
Ilipaswa kusema ''SUMAYE NI 'NABII' MNAFIKI ANAYEISHI KINAFIKI''
Hayo maneno ya kumnanga Kikwete, Sumaye aliyasema 2005 baada kuona anaelekea kushindwa kwenye kinyang'anyiro cha urais ndani ya CCM, lakini jambo la ajabu ni kwamba baada ya hapo:
1/Sumaye aliongoza CCM na serikali yake akiwa waziri mkuu kumpigia kampeni nchi nzima Kikwete 2005 na kuhakikisha anashinda tena kwa kishindo!!!
2/Sumaye amekuwa akisema mara kwa mara kuwa ana imani kubwa na uongozi wa Kikwete kwa namna unavyoongeza nchi kwa Amani na Utulivu!!
3/Sumaye amekuwa mara kwa mara akiupongeza Uongozi wa CCM chini ya uenyekiti wa Kikwete kuwa umefanya kazi kubwa na nzuri katika kuhakikisha CCM inaendelea kuwa madarakani dhidi ya upinzani unaochipukia.
*'Nabii' wa kweli anasema na kutenda kile anachokiamini, lakini Sumaye hana hizo sifa za kuwa 'Nabii' wa kisiasa.
umemuona nabii mwingine huyu 'aliyejiuzuru', sasa ameingia huku kutafuta ushawishi wa vijana!
Ndugu ukweli ni kwamba sasa ni dhahiri kwamba viongozi wetu hawako kwa maslahi ya wananchi tena. Ukitaka kujua ukweli serikali ya CCM haina kauli moja. Walau tunasikia kauli ya CHADEMA kupitia kwa Mh. Mbowe, CCM imetoa kauli yake kupiti kwa Nape, Serikali tumemsikia Wassira, Lukuvi, Makinda akidai hajui waliko wabunge wa CHADEMA, Pinda naye anatoa kauli ingine ya kuingilia mazishi ya wanachama wa CHADEMA,WanaJf. Napenda kumtangaza Mh.Sumaye( waziri Mkuu mstaafu) kuwa ni nabii anayeishi katika kile alichosema wakati wa kinyang'anyiro cha kugombea urais mwaka 2005 hasa hasa kwa haya yanayoendelea hapa nchini.
umemuona nabii mwingine huyu 'aliyejiuzuru', sasa ameingia huku kutafuta ushawishi wa vijana!
Anaingia madarakani kwa kuchafua wenzake kwa kalamu atatoka kwa kudungua wenzake kwa mtutu!!! Arusha wamedunguliwa au hujui!!!????
WanaJf. Napenda kumtangaza Mh.Sumaye( waziri Mkuu mstaafu) kuwa ni nabii anayeishi katika kile alichosema wakati wa kinyang'anyiro cha kugombea urais mwaka 2005 hasa hasa kwa haya yanayoendelea hapa nchini.