Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,392
- 39,493
Sijui ndo uzee umeanza kuniingia au ndo nimepitwa na wakati... Kwa sababu fulani Spika Sitta anaanza kuliendesha Bunge utadhani kigenge.. ati leo amepiga marufuku neno "Kukazana" kwa sababu lina maana inayochanganya kijamii!! Kama ni hivyo si apige marufuku neno "Kutia", "Kulala", "Kuwekwa", "Kuchomeka", n.k
Sasa anaanza kuniudhi, kuna visheria na viutaratibu ambavyo vimepitwa na wakati na matumizi yake Bungeni yakome. Badala ya kujipatia umaarufu kwa kulazimisha mawaziri wajibu maswali na wabunge waulize maswali yenye mantiki ameng'ang'ani vitu ambavyo havina maana yoyote!! Badala ya kusubiri hadi wabunge waingie Bungeni ndo awatimue kwanini asiitishe kikao, au kusambaza kijarida kinachoelezea ni nguo zipi zaruhusiwa Bungeni, n.k badala ya kusubiri kuwadhalilisha wabunge!!?
I'm not impressed with the new Speaker!!! he's gettin on my last nerve! What is his problem anyway?
Sasa anaanza kuniudhi, kuna visheria na viutaratibu ambavyo vimepitwa na wakati na matumizi yake Bungeni yakome. Badala ya kujipatia umaarufu kwa kulazimisha mawaziri wajibu maswali na wabunge waulize maswali yenye mantiki ameng'ang'ani vitu ambavyo havina maana yoyote!! Badala ya kusubiri hadi wabunge waingie Bungeni ndo awatimue kwanini asiitishe kikao, au kusambaza kijarida kinachoelezea ni nguo zipi zaruhusiwa Bungeni, n.k badala ya kusubiri kuwadhalilisha wabunge!!?
I'm not impressed with the new Speaker!!! he's gettin on my last nerve! What is his problem anyway?