Kwanza ujumbe wa maombolezo umeshatumwa? Watu kibao wame-tweet kuomboleza sijaona wa kutoka hapa kwetu bado.
Nauli utalipia ww!??kwa sisi wengine tuliokulia miaka ya 80 tunajua na tunakumbuka jinsi gani Cuba walivyo tusaidia kwa hali na mali ( Nasubiri kusoma makala za Ma professa Nizar Visram, Rweikiza Mkandala,mke wa marehem Haroub Othman, Issa Shivji, na bila kumsahau jenerali ulimwengu)
Je Mtukufu Rais wetu John Magufuli atakwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye huu msiba ambao marais wengi toka Africa ambao wanakumbuka mchango wa Cuba kwenye liberation movements.
Natumai Magufuli atakwenda kwenye Mzishi na sio kutuma watu waende kuiwakilisha nchi
Makamu wa Rais na Waziri mkuu wapo, ataenda mmoja wapokwa sisi wengine tuliokulia miaka ya 80 tunajua na tunakumbuka jinsi gani Cuba walivyo tusaidia kwa hali na mali ( Nasubiri kusoma makala za Ma professa Nizar Visram, Rweikiza Mkandala,mke wa marehem Haroub Othman, Issa Shivji, na bila kumsahau jenerali ulimwengu)
Je Mtukufu Rais wetu John Magufuli atakwenda kuiwakilisha Tanzania kwenye huu msiba ambao marais wengi toka Africa ambao wanakumbuka mchango wa Cuba kwenye liberation movements.
Natumai Magufuli atakwenda kwenye Mzishi na sio kutuma watu waende kuiwakilisha nchi
Au BaloziMakamu wa Rais na Waziri mkuu wapo, ataenda mmoja wapo
hahahah noma sana nshakuelewa mkuu....Regulator yamoyo itastack¡!!