Si semi kwa kumchukia inawezekana serikali inamkamata mtu aliye kuwa na kasoro kwenye akili. ,Utaalamu wa kidaktari unakubali kuwa kila binadamu ana uwendawazimu kwa kiasi fulani,hakuna asiekuwa nao.
Lugha ingine wanaweza ita hasira.
Unaweza kumkuta mtu anakunja suruali mguu mmoja,mwengine anfungo vifungo juu chini,mwengine anashusha suruali,wengine wanazitobo na vipimo ni vingi.
Lisi amezidi kuathirika kwa kupigwa risasi ,kisaikolojia hayupo sawa ,na anapozidisha hasira utamuona anavyoiva kama kuna nguvu fulani zinashindana kumzuia,
Majuzi tu Trum Raisi wa america amepimwa akili badala ya watu kumlalamikia kuwa anapoteza ufahamu na husahau kupita maelezo.
Hivyo sio vibaya akapelekwa kwenye hospitali zinazojiamini na kuaminiwa kutoa uchunguzi wa kitaaluma juu ya akili za Mheshimiwa Tundu Lisu kabla kesi haijafika mbali ,isiwe wanamuonea..
Lugha ingine wanaweza ita hasira.
Unaweza kumkuta mtu anakunja suruali mguu mmoja,mwengine anfungo vifungo juu chini,mwengine anashusha suruali,wengine wanazitobo na vipimo ni vingi.
Lisi amezidi kuathirika kwa kupigwa risasi ,kisaikolojia hayupo sawa ,na anapozidisha hasira utamuona anavyoiva kama kuna nguvu fulani zinashindana kumzuia,
Majuzi tu Trum Raisi wa america amepimwa akili badala ya watu kumlalamikia kuwa anapoteza ufahamu na husahau kupita maelezo.
Hivyo sio vibaya akapelekwa kwenye hospitali zinazojiamini na kuaminiwa kutoa uchunguzi wa kitaaluma juu ya akili za Mheshimiwa Tundu Lisu kabla kesi haijafika mbali ,isiwe wanamuonea..