WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
TBC hapa kuna Waziri anatumia muda mrefu kweli kwenye majumuisho ya Wizara yake...
anataja waheshimiwa kibao waliochangia kwenye majadiliano, kwa majina...na kumalizia..Mheshimiwa ....."mbunge".Hii imefanya atumie muda mrefu sana wakati sisi wananchi tunachotaka ni kusikia hoja na siyo majina.
Najiulizayafuatayo:
1. Kuna ulazima gani kuwataja majina na ubunge wao?
2. Je mtu asiye mbunge angeweza kuchangia?
3. Nini mantiki ya orodha hiyo badala ya kujibu hoja?
Tuelimisheni wajuaji wa mambo.
******Niwie radhi bibie Samawati.... nakutakia kila la kher!
anataja waheshimiwa kibao waliochangia kwenye majadiliano, kwa majina...na kumalizia..Mheshimiwa ....."mbunge".Hii imefanya atumie muda mrefu sana wakati sisi wananchi tunachotaka ni kusikia hoja na siyo majina.
Najiulizayafuatayo:
1. Kuna ulazima gani kuwataja majina na ubunge wao?
2. Je mtu asiye mbunge angeweza kuchangia?
3. Nini mantiki ya orodha hiyo badala ya kujibu hoja?
Tuelimisheni wajuaji wa mambo.
******Niwie radhi bibie Samawati.... nakutakia kila la kher!