Mhenga nimehitimu PhD in Media Studies, mwenye connection ya ajira tafadhali

PHD holder unatafuta kazi JF?

PHD ya taaluma hiyo hana kazi??Hayuko serious!!! Hivi kuna taaluma rahisi kwa wenye elimu kupata kazi kama hiyo?? ..kama edibiliy lunyamila na pawasa na form 4 zao wanaandika makala kwenye vigazeti vyetu na kulipwa vipi yeye mwenye PHD tena ya habari??..huyu alitakiwa awe mwandishi arleady anayeandika kwenye vyombo vya habari tena akiwa anasoma degree tu ...mwanahabari gani kazubaa hivi huyu?.. PHD?.. its fuc..ng joke!!
 
duh pole mkuu,ishu ya ajira ni ngumu ,sio peke yako,endelea kutafuta ukimtumaini Mungu.................kwa kujenga CV anza kwa kujitolea -volunteering,huku ukiwa unatafuta kazi,itakupa experience,usitishwe na maneno ya humu,lol
 
Nakutakia mafanikio mema mkuu BUT, Masters na PHD graduates should not be looking for jobs, but they have to be creating jobs for others. Sema tu elimu yetu ya kiafrika inawaandaa vijana only for white-collar jobs. All the best!!!
 
ulipaswa upande madaraja hayo ya kielimu ukiwa kazini, mfano wakati wa diploma, then ukajiendeleza huku ukiwa kazini, mwisho wa siku PHD + work experience (sio internships) + connections ulizo make ukiwa kazini ndio zitakupa matunda ya kuwa na PHD. unless hukuwa na mentor....ww ulijua kusoma tu. Media studies in real life vyeti havina dili au degree au PHD, ni experience na jina.
 
ulipaswa upande madaraja hayo ya kielimu ukiwa kazini, mfano wakati wa diploma, then ukajiendeleza huku ukiwa kazini, mwisho wa siku PHD + work experience (sio internships) + connections ulizo make ukiwa kazini ndio zitakupa matunda ya kuwa na PHD. unless hukuwa na mentor....ww ulijua kusoma tu. Media studies in real life vyeti havina dili au degree au PHD, ni experience na jina.
Husna Babe, miss you
 
My official ushauri: join job forums za taasisi kubwa kubwa kama vile balozi za nchi na mashirika ya UN, hakikisha makaratasi yako na CV vipo ready, then uwe unaamka na kusbmit tu, baada ya wiki 2 au mwezi kuna mtu atakuona, utaitwa, then kazi. Ungekuwa una diploma ningekushauri ushinde Zoom Tanzania au Brighter monday.
 
My official ushauri: join job forums za taasisi kubwa kubwa kama vile balozi za nchi na mashirika ya UN, hakikisha makaratasi yako na CV vipo ready, then uwe unaamka na kusbmit tu, baada ya wiki 2 au mwezi kuna mtu atakuona, utaitwa, then kazi. Ungekuwa una diploma ningekushauri ushinde Zoom Tanzania au Brighter monday.
Husna nina neno nawe
 
Unataka kunitongoza wakati huna kazi lol?!!
Kazi wanafanya vijana, mpaka leo hii mm niwe nafanya/kutafuta kazi. Mm sihitaji ata kuamka kitandani ili pesa iingie. I can sleep all day long n still u will meet at the bank.

Husna nina jambo nawe, sio mtongozo bali NENO, nikuambie
 
Kazi wanafanya vijana, mpaka leo hii mm niwe nafanya/kutafuta kazi. Mm sihitaji ata kuamka kitandani ili pesa iingie. I can sleep all day long n still u will meet at the bank.

Husna nina jambo nawe, sio mtongozo bali NENO, nikuambie
haya nimefungua pm...niambie
 
haya nimefungua pm...niambie
Tehtehteh thanks, hutojutia gorgeous by the way this is my view
1502531217785.png
 
Back
Top Bottom