Mhe. Zitto Kabwe: Asante Umetufungua macho!

Mhe. Zitto Kabwe: Asante Umetufungua macho!

Nyami2010

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2009
Posts
227
Reaction score
50
WanaJF, kama kweli anayosema Mhe. Zito ni ukweli kuwa mshahara wa Rais Kikwete ni zaidi ya sh 30,000,000/= kwa mwezi na Mhe. Pinda ni zaidi ya sh. 26,000,000/= kwa mwezi na bila shaka Mawaziri nao wapo kwenye sh. 20,000,000/= kwa mwezi kila mmoja.

Nasema Mhe. Zito asante umetufungua macho! Kisha watu tunajiuliza kwa nini Watanzania wengi tu masikini? Kama ni kweli, basi hakika viongozi wetu hawatendei haki Taifa hili masikini sana Duniani. Watanzania tuamke!!!!
 
Kwa hiyo mihela yote ya kodi wanaimaliza wao..bila hata kukatwa kodi...ama kweli siasa ni dhahabu kuliko ueledi wa fani nyingine yoyote hapa bongo.
 
WanaJF, kama kweli anayosema Mhe. Zito ni ukweli kuwa mshahara wa Rais Kikwete ni zaidi ya sh 30,000,000/= kwa mwezi na Mhe. Pinda ni zaidi ya sh. 26,000,000/= kwa mwezi na bila shaka Mawaziri nao wapo kwenye sh. 20,000,000/= kwa mwezi kila mmoja. Nasema Mhe. Zito asante umetufungua macho! Kisha watu tunajiuliza kwa nini Watanzania wengi tu masikini? Kama ni kweli, basi hakika viongozi wetu hawatendei haki Taifa hili masikini sana Duniani. Watanzania tuamke!!!!
. Nami ninampongeza sana Mhe. Zitto Zuberi Kabwe usajili wake! Hakika viongozi wetu ni janga kwa Watanzania!
 
mimi ninachojua rais analipwa bilion 50 kwa mwezi,waziri mkuu bilion 25 kwa mwezi.
 
Hii ni vita ya wanyonge ambayo kuishinda ni ngumu sana. tunaposema Mshahara wa rais ni mkubwa mno au na mawaziri ni mkubwa mno je tuseme tunataka alipwe ngapi kwa mchanganuo wenye akili kuliko kuongea ongea tu bila kupendekeza mshahara mbadala.
 
Kinachonishangaza ni watu kupiga makelele kwa mishahara midogo kama hii
 
We pigia kura CCM ,malalamiko baadae ,yaani mijitu inalalamika sana ,wakati wa kura wo ndio nambarione kuipigia na kuichagua CCM ,hivi wanapogaiwa kofia na fulana na ulevi wanafikiria wanapewa bure ?
 
Kinachonishangaza ni watu kupiga makelele kwa mishahara midogo kama hii

Ha ha haa, mkuu, uliona mishahara ya Ma Rais wa nchi tajiri kama China na Urusi?? Utashangaa hata Rais wetu anawazidi, sasa sijui wewe unasema ni mishahara midogo kwa kulinganisha na nini?
 
Hii ni vita ya wanyonge ambayo kuishinda ni ngumu sana. tunaposema Mshahara wa rais ni mkubwa mno au na mawaziri ni mkubwa mno je tuseme tunataka alipwe ngapi kwa mchanganuo wenye akili kuliko kuongea ongea tu bila kupendekeza mshahara mbadala.

Mchanganuo tu? Mbona dogo hilo. Haya. Mchanganuo huu hapa:

Wakati Dola moja ya Kimarekani ilipokuwa sawa na Shilingi 2/25, Julius Kambarage Nyerere alikuwa analipwa Mshahara wa Tsh. 4,000/- kwa mwezi. Kwa hiyo ni sahihi kuwa Nyerere alikuwa analipwa Dola Za Kimarekani $1,600 kwa kazi ya urais kwa mwezi.

Angalizo ni kwamba Mshahara wa Rais Mwadilifu ulikuwa Dola 1,600 kwa mwezi.

Wakati Dola ya Kimarekani ni sawa na Shilingi 1,600/-, Jakaya Mrisho Kikwete analipwa Tsh. 30,000,000/- (kama taarifa zilizopo ni sahihi), Ina maana Kikwete analipwa Dola za Kimarekani $18,750 kwa mwezi kwa kazi ya urais.

Angalizo ni kwamba Rais mlafi sana analipwa $18,750 kwa mwezi. Kima cha chini kwa mfanyakazi wa kawaida ni chini ya $300. Hesabu za uwiano zinafundishwa darasa la sita na la saba kwenye shule zote za msingi Tanzania.

$1,600 kwa $18,750 kwa mwezi mmoja imekaaje hiyo. kwa kazi ya kusafirisafiri, kuhuzuria vikao hapa na pale, na kuongoza baraza la mawaziri. We unamwona rais mwenye mapenzi mema na wananchi wake hapo? Chakula anapewa bure pale Ikulu, Safari analipiwa bure na Ikulu, MATIBABU NI BURE, kinyozi wake analipwa na Ikulu, hana gharama za mafuta, upenyo wa kutumia hela hizo kuhonga vibinti hana kwa sabu anachungwa sana hapati muda kuwaona Kempinski.

Hivi rais mlafi huwa unakuwaje? That is kama taarifa za huyo Mbunge ni sahihi....
 
any way...ajiachie tu....nyie mnaolalamika mkiwekwa nyie Ikulu mtaomba mpunguziwe mishahara...???
 
We pigia kura CCM ,malalamiko baadae ,yaani mijitu inalalamika sana ,wakati wa kura wo ndio nambarione kuipigia na kuichagua CCM ,hivi wanapogaiwa kofia na fulana na ulevi wanafikiria wanapewa bure ?

Ujumbe mzito kwa mara ya kwanza nakuunga mkono katika bandiko lako .Wajue kwamba wakipiga kura si bure .
 
WanaJF, kama kweli anayosema Mhe. Zito ni ukweli kuwa mshahara wa Rais Kikwete ni zaidi ya sh 30,000,000/= kwa mwezi na Mhe. Pinda ni zaidi ya sh. 26,000,000/= kwa mwezi na bila shaka Mawaziri nao wapo kwenye sh. 20,000,000/= kwa mwezi kila mmoja. Nasema Mhe. Zito asante umetufungua macho! Kisha watu tunajiuliza kwa nini Watanzania wengi tu masikini? Kama ni kweli, basi hakika viongozi wetu hawatendei haki Taifa hili masikini sana Duniani. Watanzania tuamke!!!!
kamsahau Dr Slaa mshahala wake kwa mwezi ni MILLIONI 23.7 kwa mwezi, na hiki kinauma baadhi ya vijana Chadema na ndiomaana Zitto akaomba kujua matumizi ya vyama vya Siasa wakaguliwe kipindi hiki. Dr Slaa anatarajiwa kuludi kutoka hanimuni na Jose.
 
Mchanganuo tu? Mbona dogo hilo. Haya. Mchanganuo huu hapa:

Wakati Dola moja ya Kimarekani ilipokuwa sawa na Shilingi 2/25, Julius Kambarage Nyerere alikuwa analipwa Mshahara wa Tsh. 4,000/- kwa mwezi. Kwa hiyo ni sahihi kuwa Nyerere alikuwa analipwa Dola Za Kimarekani $1,600 kwa kazi ya urais kwa mwezi.

Angalizo ni kwamba Mshahara wa Rais Mwadilifu ulikuwa Dola 1,600 kwa mwezi.

Wakati Dola ya Kimarekani ni sawa na Shilingi 1,600/-, Jakaya Mrisho Kikwete analipwa Tsh. 30,000,000/- (kama taarifa zilizopo ni sahihi), Ina maana Kikwete analipwa Dola za Kimarekani $18,750 kwa mwezi kwa kazi ya urais.

Angalizo ni kwamba Rais mlafi sana analipwa $18,750 kwa mwezi. Kima cha chini kwa mfanyakazi wa kawaida ni chini ya $300. Hesabu za uwiano zinafundishwa darasa la sita na la saba kwenye shule zote za msingi Tanzania.

$1,600 kwa $18,750 kwa mwezi mmoja imekaaje hiyo. kwa kazi ya kusafirisafiri, kuhuzuria vikao hapa na pale, na kuongoza baraza la mawaziri. We unamwona rais mwenye mapenzi mema na wananchi wake hapo? Chakula anapewa bure pale Ikulu, Safari analipiwa bure na Ikulu, MATIBABU NI BURE, kinyozi wake analipwa na Ikulu, hana gharama za mafuta, upenyo wa kutumia hela hizo kuhonga vibinti hana kwa sabu anachungwa sana hapati muda kuwaona Kempinski.

Hivi rais mlafi huwa unakuwaje? That is kama taarifa za huyo Mbunge ni sahihi....
Angalia gharama za maisha wakati Mwl analipwa $ 1,600, akili za kibavicha hizi kwani umesikia kazi ya urais ni kazi ya kueneza neno la injili au wito? Wewe ulitaka rais alipwe tsh ngapi mbona haulizi wala kushangaa mwananchi wa kawaida kama Dr Slaa analipwa tsh 12 million na hazimtoshi bado anakopa ruzuku ambayo imekususdiwa kuimarisha vyama Tanzania.Tumia kichwa kufikiri kijana
 
Angalia gharama za maisha wakati Mwl analipwa $ 1,600, akili za kibavicha hizi kwani umesikia kazi ya urais ni kazi ya kueneza neno la injili au wito? Wewe ulitaka rais alipwe tsh ngapi mbona haulizi wala kushangaa mwananchi wa kawaida kama Dr Slaa analipwa tsh 12 million na hazimtoshi bado anakopa ruzuku ambayo imekususdiwa kuimarisha vyama Tanzania.Tumia kichwa kufikiri kijana
mkuu wanasiasa ni matapeli wakubwa, rais angelipwa mil. 2 kwa mwezi, maana kila kitu ni bure na isitoshe mshahara wake haukatwi kodi..
 
Mchanganuo tu? Mbona dogo hilo. Haya. Mchanganuo huu hapa:

Wakati Dola moja ya Kimarekani ilipokuwa sawa na Shilingi 2/25, Julius Kambarage Nyerere alikuwa analipwa Mshahara wa Tsh. 4,000/- kwa mwezi. Kwa hiyo ni sahihi kuwa Nyerere alikuwa analipwa Dola Za Kimarekani $1,600 kwa kazi ya urais kwa mwezi.

Angalizo ni kwamba Mshahara wa Rais Mwadilifu ulikuwa Dola 1,600 kwa mwezi.

Wakati Dola ya Kimarekani ni sawa na Shilingi 1,600/-, Jakaya Mrisho Kikwete analipwa Tsh. 30,000,000/- (kama taarifa zilizopo ni sahihi), Ina maana Kikwete analipwa Dola za Kimarekani $18,750 kwa mwezi kwa kazi ya urais.

Angalizo ni kwamba Rais mlafi sana analipwa $18,750 kwa mwezi. Kima cha chini kwa mfanyakazi wa kawaida ni chini ya $300. Hesabu za uwiano zinafundishwa darasa la sita na la saba kwenye shule zote za msingi Tanzania.

$1,600 kwa $18,750 kwa mwezi mmoja imekaaje hiyo. kwa kazi ya kusafirisafiri, kuhuzuria vikao hapa na pale, na kuongoza baraza la mawaziri. We unamwona rais mwenye mapenzi mema na wananchi wake hapo? Chakula anapewa bure pale Ikulu, Safari analipiwa bure na Ikulu, MATIBABU NI BURE, kinyozi wake analipwa na Ikulu, hana gharama za mafuta, upenyo wa kutumia hela hizo kuhonga vibinti hana kwa sabu anachungwa sana hapati muda kuwaona Kempinski.

Hivi rais mlafi huwa unakuwaje? That is kama taarifa za huyo Mbunge ni sahihi....

Nyerere uadilifu wake ni nini? Na ulafi wa kikwete ni nini?
 
Back
Top Bottom