Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
WanaJF, kama kweli anayosema Mhe. Zito ni ukweli kuwa mshahara wa Rais Kikwete ni zaidi ya sh 30,000,000/= kwa mwezi na Mhe. Pinda ni zaidi ya sh. 26,000,000/= kwa mwezi na bila shaka Mawaziri nao wapo kwenye sh. 20,000,000/= kwa mwezi kila mmoja.
Nasema Mhe. Zito asante umetufungua macho! Kisha watu tunajiuliza kwa nini Watanzania wengi tu masikini? Kama ni kweli, basi hakika viongozi wetu hawatendei haki Taifa hili masikini sana Duniani. Watanzania tuamke!!!!
Nasema Mhe. Zito asante umetufungua macho! Kisha watu tunajiuliza kwa nini Watanzania wengi tu masikini? Kama ni kweli, basi hakika viongozi wetu hawatendei haki Taifa hili masikini sana Duniani. Watanzania tuamke!!!!