ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
Wanasiasa ni hatari, yaani ndo maana wakati wa uchaguzi wanamwaga rushwa kama hawana akili nzuri, pilau na wali kuwaonga wapiga kura, kumbe ni kwa maslahi binafsi.
Kwa hiyo mihela yote ya kodi wanaimaliza wao..bila hata kukatwa kodi...ama kweli siasa ni dhahabu kuliko ueledi wa fani nyingine yoyote hapa bongo.
Zitto mwenyewe amejaza mipesa Ujerumani. Sasa anarushaje mawe gizani ?
Angalia gharama za maisha wakati Mwl analipwa $ 1,600, akili za kibavicha hizi kwani umesikia kazi ya urais ni kazi ya kueneza neno la injili au wito? Wewe ulitaka rais alipwe tsh ngapi mbona haulizi wala kushangaa mwananchi wa kawaida kama Dr Slaa analipwa tsh 12 million na hazimtoshi bado anakopa ruzuku ambayo imekususdiwa kuimarisha vyama Tanzania.Tumia kichwa kufikiri kijana
Mchanganuo tu? Mbona dogo hilo. Haya. Mchanganuo huu hapa:
Wakati Dola moja ya Kimarekani ilipokuwa sawa na Shilingi 2/25, Julius Kambarage Nyerere alikuwa analipwa Mshahara wa Tsh. 4,000/- kwa mwezi. Kwa hiyo ni sahihi kuwa Nyerere alikuwa analipwa Dola Za Kimarekani $1,600 kwa kazi ya urais kwa mwezi.
Angalizo ni kwamba Mshahara wa Rais Mwadilifu ulikuwa Dola 1,600 kwa mwezi.
Wakati Dola ya Kimarekani ni sawa na Shilingi 1,600/-, Jakaya Mrisho Kikwete analipwa Tsh. 30,000,000/- (kama taarifa zilizopo ni sahihi), Ina maana Kikwete analipwa Dola za Kimarekani $18,750 kwa mwezi kwa kazi ya urais.
Angalizo ni kwamba Rais mlafi sana analipwa $18,750 kwa mwezi. Kima cha chini kwa mfanyakazi wa kawaida ni chini ya $300. Hesabu za uwiano zinafundishwa darasa la sita na la saba kwenye shule zote za msingi Tanzania.
$1,600 kwa $18,750 kwa mwezi mmoja imekaaje hiyo. kwa kazi ya kusafirisafiri, kuhuzuria vikao hapa na pale, na kuongoza baraza la mawaziri. We unamwona rais mwenye mapenzi mema na wananchi wake hapo? Chakula anapewa bure pale Ikulu, Safari analipiwa bure na Ikulu, MATIBABU NI BURE, kinyozi wake analipwa na Ikulu, hana gharama za mafuta, upenyo wa kutumia hela hizo kuhonga vibinti hana kwa sabu anachungwa sana hapati muda kuwaona Kempinski.
Hivi rais mlafi huwa unakuwaje? That is kama taarifa za huyo Mbunge ni sahihi....
WanaJF, kama kweli anayosema Mhe. Zito ni ukweli kuwa mshahara wa Rais Kikwete ni zaidi ya sh 30,000,000/= kwa mwezi na Mhe. Pinda ni zaidi ya sh. 26,000,000/= kwa mwezi na bila shaka Mawaziri nao wapo kwenye sh. 20,000,000/= kwa mwezi kila mmoja.
Nasema Mhe. Zito asante umetufungua macho! Kisha watu tunajiuliza kwa nini Watanzania wengi tu masikini? Kama ni kweli, basi hakika viongozi wetu hawatendei haki Taifa hili masikini sana Duniani. Watanzania tuamke!!!!
Angalia gharama za maisha wakati Mwl analipwa $ 1,600, akili za kibavicha hizi kwani umesikia kazi ya urais ni kazi ya kueneza neno la injili au wito? Wewe ulitaka rais alipwe tsh ngapi mbona haulizi wala kushangaa mwananchi wa kawaida kama Dr Slaa analipwa tsh 12 million na hazimtoshi bado anakopa ruzuku ambayo imekususdiwa kuimarisha vyama Tanzania.Tumia kichwa kufikiri kijana
Ninarudia, kama ni kweli Mhe. Rais na Waziri Mkuu wanalipwa hayo mamilioni ya walipa kodi bila haya na wanaona ni haki yao, hakika Mwenyezi Mungu atawalipa hapa hapa Duniani. Ni Roho ngapi za Watanzania wanateseka kwa sababu ya umasikini????? Mhe. J.K, hivi yanayosemwa ni kweli?sijui nani alinimezesha sumu kuna mtu alinidanganya raisi analipwa m8:
mungu tunamuongozea majukumu ambayo mengine sisi tunaweza kuyamudu sasa mshara wa raisi na mungu wapi na wapi lipo ndani uwezo wetu hili tukiamua upunguzwe inawezekanaNinarudia, kama ni kweli Mhe. Rais na Waziri Mkuu wanalipwa hayo mamilioni ya walipa kodi bila haya na wanaona ni haki yao, hakika Mwenyezi Mungu atawalipa hapa hapa Duniani. Ni Roho ngapi za Watanzania wanateseka kwa sababu ya umasikini????? Mhe. J.K, hivi yanayosemwa ni kweli?
Ninarudia, kama ni kweli Mhe. Rais na Waziri Mkuu wanalipwa hayo mamilioni ya walipa kodi bila haya na wanaona ni haki yao, hakika Mwenyezi Mungu atawalipa hapa hapa Duniani. Ni Roho ngapi za Watanzania wanateseka kwa sababu ya umasikini????? Mhe. J.K, hivi yanayosemwa ni kweli?
WanaJF, kama kweli anayosema Mhe. Zito ni ukweli kuwa mshahara wa Rais Kikwete ni zaidi ya sh 30,000,000/= kwa mwezi na Mhe. Pinda ni zaidi ya sh. 26,000,000/= kwa mwezi na bila shaka Mawaziri nao wapo kwenye sh. 20,000,000/= kwa mwezi kila mmoja.
Nasema Mhe. Zito asante umetufungua macho! Kisha watu tunajiuliza kwa nini Watanzania wengi tu masikini? Kama ni kweli, basi hakika viongozi wetu hawatendei haki Taifa hili masikini sana Duniani. Watanzania tuamke!!!!
WanaJF, kama kweli anayosema Mhe. Zito ni ukweli kuwa mshahara wa Rais Kikwete ni zaidi ya sh 30,000,000/= kwa mwezi na Mhe. Pinda ni zaidi ya sh. 26,000,000/= kwa mwezi na bila shaka Mawaziri nao wapo kwenye sh. 20,000,000/= kwa mwezi kila mmoja.
Nasema Mhe. Zito asante umetufungua macho! Kisha watu tunajiuliza kwa nini Watanzania wengi tu masikini? Kama ni kweli, basi hakika viongozi wetu hawatendei haki Taifa hili masikini sana Duniani. Watanzania tuamke!!!!