mzee wa liver
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 81,403
- 423,614
Kukurupuka tu kila kitu ni kukurupukaPetro E. Mselewa hili jambo limeshakuwa gumu Kikatiba na kisheria. Kama ulivyosema haraka ya kuwaapisha wale nane wengine ilitokana na nini?
Kukurupuka tu kila kitu ni kukurupukaPetro E. Mselewa hili jambo limeshakuwa gumu Kikatiba na kisheria. Kama ulivyosema haraka ya kuwaapisha wale nane wengine ilitokana na nini?
Hatuongelei ugogo hapa ila tunajenga hoja na si matusi, kama huwezi kujenga hoja ni bora ukae kimya tu, kwa kuwa wengi wanaoandika humu ni watu wenye hekima na ndo maana hawafichi majina yao kama ulivyo wewe.Hujui kitu wewe mgogo , tulia .
Mkuu huko sawa kabisa kulikuwa hakuna sababu ya kuwaapisha baraka namna hileVijana hiyo huiita 'weka niweke'. Busara ilikuwa kusubiri Uamuzi wa Mahakama wakati ule.
We dare to talk openly mapovu ya niniWewe inakuhusu nini? Una wadhifa gani huko CUF. Tafuta riziki yako acha umbeya. Ada za watoto zinakushinda!
Napenda kukufahamisha kuwa nafasi ya Uspika si ya kuteuliwa, ila ni ya kugombea kasome katiba itakupa maelezo yote ni nafasi zipi za utezi na zipi za kugombea.Hawa wapya ni 'uteuzi kutoka juu' Spika naye ni mteule..Nasfasi ya spika aliweza Sita na amekufa na karama yake!
Alipelekewa majina yeye akiwa nje ya nchi kufika tu akawaapisha,Unapoandika ni lazima ufikirie kwa kutumia kichwa na si kutumia mgongo, wale wabunge waliapishwa baada ya yeye spika kuletewa majina kutoka mamlaka nyingine zinazohusika na wabunge wa vyama. Hivyo spika hana kosa lolote alilofanya kwani yeye alitimoza wajibu wake kama spika, acheni ushabika usiokuwa na maana.
Wewe amekuomba ada mbona povu? Bishana Kwa hoja watu msiokuwa na hoja huwa MNA hasiraWewe inakuhusu nini? Una wadhifa gani huko CUF. Tafuta riziki yako acha umbeya. Ada za watoto zinakushinda!
So far speaker ameamuaje hasa kuhusu wabunge wapya alioapisha?Ijumaa ya Novemba 10,2017 ulitolewa uamuzi wa kuzuia kuvuliwa uanachama wa Wabunge 8 wa Chama cha Wananchi (CUF). Uamuzi huo ulitolewa na Jaji Lugano Mwandambo wa Mahakama hiyo kufuatia maombi ya Wabunge hao 8 'waliovuliwa' uanachama kuiomba Mahakama 'kuilinda hali iliyopo' (to maintain status quo) kupisha kuamriwa kwa shauri la msingi.
Shauri la msingi la Wabunge hao 8 wa CUF wa upande wa Maalim Seif S. Hamad, pamoja na mambo mengine, linajikita katika kupinga uamuzi wa linaloitwa Baraza Kuu la CUF chini ya Prof. Ibrahim H. Lipumba kuwavua uanachama wao wa CUF kwa makosa ya kinidhamu. Kufuatia kuvuliwa kwao uanachama, walipoteza sifa za kikatiba kuwa Wabunge na hivyo kuondolewa.
Jambo la kusikitisha ni kuwa Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania wa kuzuia kuvuliwa uanachama wa CUF wa Wabunge 8 wa CUF ulitolewa wakati tayari Wabunge hao 8 wa Viti Maalum walishavuliwa uanachama wao na hata kuondolewa kwenye Ubunge wao. Tayari hata Wabunge wapya 8 walishateuliwa na kuapishwa.
Nimejitokeza kuuliza tu kama Ofisi ya Spika wa Bunge imeipata nakala ya Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania niliousema hapo juu na kama kuna hatua zozote zilizochukuliwa. Huu ndio muda wa kuilaumu ile haraka ya kuteua Wabunge wapya 8 na kuwaapisha bila angalau kusubiri Uamuzi wa Maombi madogo ya kumaintain status quo ambayo yalijulikana na wadau wote kuwa yapo.
Kuna jambo la kufanyika ili kuheshimu Uamuzi wa Mahakama. Ni kwakuwa kuzuia kuvuliwa uanachama wa CUF kunamaanisha kuwa Wabunge 8 wa CUF waliopo Mahakamani katika shauri bado ni wanachama wa CUF. Hivyo, kwakuwa waliteuliwa kwa mujibu wa katiba na sheria, bado ni Wabunge halali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hawakupoteza sifa za kuwa wabunge kwakuwa uanachama wa CUF, Mahakama Kuu imesema, bado wanao.
great thinkerMimi mume wa mama yako
Katiba ya mbinguni? Spika ametokana na chama cha mapinduzi,Spika ni mwanachama wa chama cha mapinduzi ambaye mwenyekiti wake unamjua,kwa influence ya mwenyekiti anampendekeza kisha anapigiwa kura na lazima azipate kwa wingi wa ndiyooooo unategemea huyo spika atakuwa na meno? Hiyo katiba inatumika kuapishia tu wateule basi!Napenda kukufahamisha kuwa nafasi ya Uspika si ya kuteuliwa, ila ni ya kugombea kasome katiba itakupa maelezo yote ni nafasi zipi za utezi na zipi za kugombea.
Haya ungemwambia Jaji aliyelikubali pingamizi. Mengine baadae..sana.Wewe inakuhusu nini? Una wadhifa gani huko CUF.
Unashindwa kuelewa kuwa hivyo ni vyama tofauti.
Ndo maana hauna hoja kwenye comment za wengineMimi ni ACT Wazalendo. Aliyekuambia mimi ni CCM nani?
MaagizoPetro E. Mselewa hili jambo limeshakuwa gumu Kikatiba na kisheria. Kama ulivyosema haraka ya kuwaapisha wale nane wengine ilitokana na nini?
Kisheria huo uamuzi wa mahakama Ni redundant. Huwezi kutoa maamuzi ya ku maintain status quo wakati hiyo status quo imeshabadilika. Mombi hayo tayari yalikuwa yameshapita Na matukio. Uamuzi huo unawafaa nyie academicians kwa kuwafundisha watotoIjumaa ya Novemba 10,2017 ulitolewa uamuzi wa kuzuia kuvuliwa uanachama wa Wabunge 8 wa Chama cha Wananchi (CUF). Uamuzi huo ulitolewa na Jaji Lugano Mwandambo wa Mahakama hiyo kufuatia maombi ya Wabunge hao 8 'waliovuliwa' uanachama kuiomba Mahakama 'kuilinda hali iliyopo' (to maintain status quo) kupisha kuamriwa kwa shauri la msingi.
Shauri la msingi la Wabunge hao 8 wa CUF wa upande wa Maalim Seif S. Hamad, pamoja na mambo mengine, linajikita katika kupinga uamuzi wa linaloitwa Baraza Kuu la CUF chini ya Prof. Ibrahim H. Lipumba kuwavua uanachama wao wa CUF kwa makosa ya kinidhamu. Kufuatia kuvuliwa kwao uanachama, walipoteza sifa za kikatiba kuwa Wabunge na hivyo kuondolewa.
Jambo la kusikitisha ni kuwa Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania wa kuzuia kuvuliwa uanachama wa CUF wa Wabunge 8 wa CUF ulitolewa wakati tayari Wabunge hao 8 wa Viti Maalum walishavuliwa uanachama wao na hata kuondolewa kwenye Ubunge wao. Tayari hata Wabunge wapya 8 walishateuliwa na kuapishwa.
Nimejitokeza kuuliza tu kama Ofisi ya Spika wa Bunge imeipata nakala ya Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania niliousema hapo juu na kama kuna hatua zozote zilizochukuliwa. Huu ndio muda wa kuilaumu ile haraka ya kuteua Wabunge wapya 8 na kuwaapisha bila angalau kusubiri Uamuzi wa Maombi madogo ya kumaintain status quo ambayo yalijulikana na wadau wote kuwa yapo.
Kuna jambo la kufanyika ili kuheshimu Uamuzi wa Mahakama. Ni kwakuwa kuzuia kuvuliwa uanachama wa CUF kunamaanisha kuwa Wabunge 8 wa CUF waliopo Mahakamani katika shauri bado ni wanachama wa CUF. Hivyo, kwakuwa waliteuliwa kwa mujibu wa katiba na sheria, bado ni Wabunge halali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hawakupoteza sifa za kuwa wabunge kwakuwa uanachama wa CUF, Mahakama Kuu imesema, bado wanao.
Uamuzi wa Mahakama hauwezi kuwa redundant Mkuu.Kisheria huo uamuzi wa mahakama Ni redundant. Huwezi kutoa maamuzi ya ku maintain status quo wakati hiyo status quo imeshabadilika. Mombi hayo tayari yalikuwa yameshapita Na matukio. Uamuzi huo unawafaa nyie academicians kwa kuwafundisha watoto
Kwa ufahamu wangu kumaintain status quo ni kama ulikuwa namba mbili hutakiwi kwenda tatu au kurudi moja unabaki kwenye mbili mpaka itakavyoamuliwa vinginevyo hivyo basi waliovuliwa uanachama wanabaki kama walivyo na walioapishwa wanabaki kama walivyo hivyo basi hiyo amri haina impact yeyote kwa walioapishwaIjumaa ya Novemba 10,2017 ulitolewa uamuzi wa kuzuia kuvuliwa uanachama wa Wabunge 8 wa Chama cha Wananchi (CUF). Uamuzi huo ulitolewa na Jaji Lugano Mwandambo wa Mahakama hiyo kufuatia maombi ya Wabunge hao 8 'waliovuliwa' uanachama kuiomba Mahakama 'kuilinda hali iliyopo' (to maintain status quo) kupisha kuamriwa kwa shauri la msingi.
Shauri la msingi la Wabunge hao 8 wa CUF wa upande wa Maalim Seif S. Hamad, pamoja na mambo mengine, linajikita katika kupinga uamuzi wa linaloitwa Baraza Kuu la CUF chini ya Prof. Ibrahim H. Lipumba kuwavua uanachama wao wa CUF kwa makosa ya kinidhamu. Kufuatia kuvuliwa kwao uanachama, walipoteza sifa za kikatiba kuwa Wabunge na hivyo kuondolewa.
Jambo la kusikitisha ni kuwa Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania wa kuzuia kuvuliwa uanachama wa CUF wa Wabunge 8 wa CUF ulitolewa wakati tayari Wabunge hao 8 wa Viti Maalum walishavuliwa uanachama wao na hata kuondolewa kwenye Ubunge wao. Tayari hata Wabunge wapya 8 walishateuliwa na kuapishwa.
Nimejitokeza kuuliza tu kama Ofisi ya Spika wa Bunge imeipata nakala ya Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania niliousema hapo juu na kama kuna hatua zozote zilizochukuliwa. Huu ndio muda wa kuilaumu ile haraka ya kuteua Wabunge wapya 8 na kuwaapisha bila angalau kusubiri Uamuzi wa Maombi madogo ya kumaintain status quo ambayo yalijulikana na wadau wote kuwa yapo.
Kuna jambo la kufanyika ili kuheshimu Uamuzi wa Mahakama. Ni kwakuwa kuzuia kuvuliwa uanachama wa CUF kunamaanisha kuwa Wabunge 8 wa CUF waliopo Mahakamani katika shauri bado ni wanachama wa CUF. Hivyo, kwakuwa waliteuliwa kwa mujibu wa katiba na sheria, bado ni Wabunge halali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hawakupoteza sifa za kuwa wabunge kwakuwa uanachama wa CUF, Mahakama Kuu imesema, bado wanao.
Mijitu mingine shidaWewe inakuhusu nini? Una wadhifa gani huko CUF.
Nani kakwambia ujibu?Wewe inakuhusu nini? Una wadhifa gani huko CUF.
Usikariri dogo.Uamuzi wa Mahakama hauwezi kuwa redundant Mkuu.