Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,617
Ndiyo tatizo la kuwa na speaker alikulia kwenye nyumba za tembe.
Najua la Kisheria. Wewe una maslahi gani nalo? Mpaka unapoteza muda wako kulifuatilia badala ya kutafuta mkate wako wa siku?Mkuu, yaani umeshindwa kuelewa kabisa kuwa hilo suala ni la kisheria? Huwa nasikitika sana kuona vyama vya siasa vinawatia ukungu kwenye bongo zetu.
Vv
Hao siyo wa Lipumba ni wa CCM mzee.Hapo hakuna kupepesa macho wabunge wa Lipummba waachie ngazi mara moja
CCM haihusiki na ugomvi wenu huko CUF. Lipumba ni Mwenyekiti halali wa CUF kwa mujibu wa Sheria za Nchi hii period!Hao siyo wa Lipumba ni wa CCM mzee.
Mkuu, kila raia ni mdau wa sheria, sheria inatakiwa kufuatwa na kutiiwa na wote isipokuwa wale wanaothibitishwa kuwa ni vichaa.Najua la Kisheria. Wewe una maslahi gani nalo? Mpaka unapoteza muda wako kulifuatilia badala ya kutafuta mkate wako wa siku?
Ni CCM mwenzenuCCM haihusiki na ugomvi wenu huko CUF. Lipumba ni Mwenyekiti halali wa CUF kwa mujibu wa Sheria za Nchi hii period!
Mimi ni ACT Wazalendo. Aliyekuambia mimi ni CCM nani?Ni CCM mwenzenu
ACT, CUF-Lipumba, UDP na TLP ni CCM pure.Mimi ni ACT Wazalendo. Aliyekuambia mimi ni CCM nani?
Unashindwa kuelewa kuwa hivyo ni vyama tofauti.ACT, CUF-Lipumba, UDP na TLP ni CCM pure.
Jibu hoja mkuu kinachojadiliwa hapa in utii wa sheria sio ubabeWewe inakuhusu nini? Una wadhifa gani huko CUF. Tafuta riziki yako acha umbeya. Ada za watoto zinakushinda!
Sijaona hoja yoyote zaidi ya vijana kupayuka na kuhemuka kwa mambo yasiyowahusu.Jibu hoja mkuu kinachojadiliwa hapa in utii wa sheria sio ubabe
Wakubwa hawakosei bali wanasahau,taasisi ya bunge ilipaswa tumia busara subiri maamuzi mahakama.
Watamaintain status quo waliyokuwa nayo kabla ya kuteuliwa. Hivyo hawatakuwa na hadhi ya ubunge.Sasa hawa wapya nao watatenguliwa?
Ñao wakienda kwa Court ili kumaintain hiyo status quo itakuaje?
Anangojea maelekezo toka kW JPM.Ijumaa ya Novemba 10,2017 ulitolewa uamuzi wa kuzuia kuvuliwa uanachama wa Wabunge 8 wa Chama cha Wananchi (CUF). Uamuzi huo ulitolewa na Jaji Lugano Mwandambo wa Mahakama hiyo kufuatia maombi ya Wabunge hao 8 'waliovuliwa' uanachama kuiomba Mahakama 'kuilinda hali iliyopo' (to maintain status quo) kupisha kuamriwa kwa shauri la msingi.
Shauri la msingi la Wabunge hao 8 wa CUF wa upande wa Maalim Seif S. Hamad, pamoja na mambo mengine, linajikita katika kupinga uamuzi wa linaloitwa Baraza Kuu la CUF chini ya Prof. Ibrahim H. Lipumba kuwavua uanachama wao wa CUF kwa makosa ya kinidhamu. Kufuatia kuvuliwa kwao uanachama, walipoteza sifa za kikatiba kuwa Wabunge na hivyo kuondolewa.
Jambo la kusikitisha ni kuwa Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania wa kuzuia kuvuliwa uanachama wa CUF wa Wabunge 8 wa CUF ulitolewa wakati tayari Wabunge hao 8 wa Viti Maalum walishavuliwa uanachama wao na hata kuondolewa kwenye Ubunge wao. Tayari hata Wabunge wapya 8 walishateuliwa na kuapishwa.
Nimejitokeza kuuliza tu kama Ofisi ya Spika wa Bunge imeipata nakala ya Uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania niliousema hapo juu na kama kuna hatua zozote zilizochukuliwa. Huu ndio muda wa kuilaumu ile haraka ya kuteua Wabunge wapya 8 na kuwaapisha bila angalau kusubiri Uamuzi wa Maombi madogo ya kumaintain status quo ambayo yalijulikana na wadau wote kuwa yapo.
Kuna jambo la kufanyika ili kuheshimu Uamuzi wa Mahakama. Ni kwakuwa kuzuia kuvuliwa uanachama wa CUF kunamaanisha kuwa Wabunge 8 wa CUF waliopo Mahakamani katika shauri bado ni wanachama wa CUF. Hivyo, kwakuwa waliteuliwa kwa mujibu wa katiba na sheria, bado ni Wabunge halali wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hawakupoteza sifa za kuwa wabunge kwakuwa uanachama wa CUF, Mahakama Kuu imesema, bado wanao.
Wataisubiri vipi mahakama wakati ni amri kutoka juu?Vijana hiyo huiita 'weka niweke'. Busara ilikuwa kusubiri Uamuzi wa Mahakama wakati ule.
Kuna tofauti ipi kati ya ccm na Act?Mimi ni ACT Wazalendo. Aliyekuambia mimi ni CCM nani?