Ili uwafunge goli wabaya wako. Tuanze upya kwani sasa unajua urais ni zaidi ya ving'ora na saluti.
Mzee mwanakijiji,
You made my day!
Unanidai crate moja ya bia na tukikutana pale pahala basi nidai kwa nguvu zako zote!
Jamani haya sio yaliyoandikwa kwenye ule ujembe - TANZANIA TUMEKWISHA???? na akina Bluray wakalalamika kuwa eti yaliyoandikwa yalikuwa ni sawa na treason na kuwa itapelekea JF ifungwe na jamaa zake?
Ni kweli kabisa kuwa, ilikuendelea Tanzania must start afresh - ikiwa ni kwa mapinduzi, ikiwa ni kwa people's insurrection, ikiwa ni kwa kuvunja bunge, ikiwa ni kwa kuivunja serikali yenyewe, etc etc - ni lazima uozo uliopo uangamie mara moja ndio tena hapo tutaweza kuibuka. Bila ya hivyo, tutaendelea na ufisadi wetu maisha.
Kuvunja bunge na baraza la mawaziri haitosaidia kitu, lakini at least Mwanakijiji unafahamu kuwa hii serikali ya sasa haina faida kwetu wananchi and it has to go!
Mtu yoyote miongoni mwetu anaesema kuwa kuiangamiza hii serikali ya hivi sasa ni treason, basi huyo ni fisadi kati yetu. Tutakapoanza tena mafisadi wote watakula risasi kama alivyokula Ceacescu wa Romania!!!
There is no other way!!! Piga risasi mafisadi wote - this is the only way!!!
Almost miaka 50 ya uhuru sasa imepita and still watoto wetu wanakaa chini shule!!! Is this not treason by itself??????????