MP CHACHANDU
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 875
- 616
Mhe .rais magufuli tunaomba wananchi uifute NECTA maana imeshindwa kuwabaini watumishi wenye vyeti feki Mara nyingi wananchi wamekuwa wakitoa taarifa za watumishi wenye vyeti feki lakini baraza hili la necta haliwashughulikii hata kidogo mfano askari polisi wa musoma central police mkoani Mara wapo wengi wana vyeti feki na taarifa zimetolewa necta lakini wao hawalifanyii kazi wapo kimya wanapenda rushes kila kona .
Tunaomba fumua uongozi wa necta wanafanya kazi kwa mazoea uhakiki wa watumishi hewa sasa unamaliza mwaka mzima lakini necta haijawahi kutoa takwimu sasa za watumishi wa umma wenye vyeti feki je ? Hawapo ? Kama hawapo kwanini mnahakiki vyeti ? Mwaka mzima ? Huu ni uzembe mnawaumiza watumishi wenye vyeti halali hii siyo sahihi hata kidogo .
Tunaomba fumua uongozi wa necta wanafanya kazi kwa mazoea uhakiki wa watumishi hewa sasa unamaliza mwaka mzima lakini necta haijawahi kutoa takwimu sasa za watumishi wa umma wenye vyeti feki je ? Hawapo ? Kama hawapo kwanini mnahakiki vyeti ? Mwaka mzima ? Huu ni uzembe mnawaumiza watumishi wenye vyeti halali hii siyo sahihi hata kidogo .