kajima
JF-Expert Member
- Dec 5, 2009
- 1,289
- 514
Kutoka katika taarifa ya habari ya TBC saa mbili usiku wa 20/03,mkuu wa kaya amedadisi maswala yanayowasibu wakazi wa eneo hilo lakini katika hali isiyotarajiwa akaamua kukutana na viongozi wa kuchaguliwa na kuteuliwa wa jiji la Dar kujadili suala la maji jijini humo baada ya kuelezwa kama moja ya matatizo
Je Serikali imeanza kuonja joto ya changamoto ya wananchi, suala la maji limekuwa hoja mbichi kiasi cha kuandaliwa maandamano kwa suala hilo. Hongera JF, hongera wadau wa maendeleo wakiongozwa na Mbunge wa Ubungo, Mhe Mnyika.
Tanzania bora ipo KARIBU
Je Serikali imeanza kuonja joto ya changamoto ya wananchi, suala la maji limekuwa hoja mbichi kiasi cha kuandaliwa maandamano kwa suala hilo. Hongera JF, hongera wadau wa maendeleo wakiongozwa na Mbunge wa Ubungo, Mhe Mnyika.
Tanzania bora ipo KARIBU