Ajue kwamba wafanyakazi ndio wanasimamia hata kura!
Well said mzee!
Wahenga wanasema usimtukane mke wakati ukijiandaa kwa tendo la ndoa na wala usimkashifu mpishi wakati chungu kipo jikoni!!!
Hao hao wafanyakazi ndio wanamlinda yeye na familia yake, na ndio watakao saidia kufanya kura zile za maruhani za kubadili matokeo zitimie.#
Ajui hata hao polisi na wana usalama ni wafanyakazi hata kama si wanachama wa TUCTA lakini bado ni wana ndugu za hao anaowapuuza!.
Ngoshwe unajua Kiburi chake huletwa na ugoi goi wa maaamuzi mazito ya hawa Watumishi, Kikwete hawaogopi kwa maana anajua fika watamchagua tu, ni waoga wamageuzi, wamelelewa kwenye mazingira ya mkuu wa nnchi ndie mwenye uwezo pekee wa kufikiri.
kwa kuujua fika udhaifu huo, yupo tayari kuwatukana matusi makubwa na yanguoni....haogopi na wala hanahofu nao.
Kama inavyoonekana kwenye Signature ya Baba_Enock
Jamaa alibwabwaja kiasi nikisikia mtu akiita ile ni hotuba nashindwa kumuelewa maana haifanani kabisa na hotuba...sijui kama ilikua ni ushauri aliopewa ama alitumia kilevi fulan yaani naonahata aibu kutamka kuwa ni rais wangu.