Mhe Mbowe Kumbuka Jimbo lako la Hai

Mhe Mbowe Kumbuka Jimbo lako la Hai

kimboka one

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2010
Posts
734
Reaction score
85
Mhe Utakumbuka ulikuja hai kuomba kura na kuahidi utawatumikia watu Wa hai!,sasa imekuwa kinyume tunakuona kwenye maandamano mikoa mingine jimbo limebaki kiwa.

Tafadhali pamoja na kazi unayofanya kitaifa kumbuka wajibu wako.

Mwisho ushauri, uchaguzi ujao usigombee endelea na harakati za kichama ubunge waachie wanaweza kukaa bungeni.

Kama we si mbunge wangu hauna haja ya kujibu
 
Huwezi kuiondoa CCM Madarakani kama unawaza maendeleo ya Jimbo lako Pekee.Mbowe ni Kiongozi wa Kitaifa hivyo anatakiwa aimarishe harakati za kuiondoa CCM Kitaifa n Kimataifa.
 
Hivi kwa nini documents za ripoti ya escrow zimeanza Ku leak baada ya kukabidhiwa kwa kamati ya PAC?
 
acha kulalama wew jimbo limeenea kila kindu maji kila pahala had kawaya,longoi,rundugai vijij ambavo havijawah kuond maj ya bomba tangia dunia izaliwe wacha kamanda apige kazi wew au unataka kumwona akikatisha mtaan kwako akupungie mkono
 
Machame hatumhitaji tena mbunge wa kutuletea maendeleo ndani ya jimbo. Tayari tumeshajiletea wenyewe miaka Mingi.

Sasa tunataka mbunge atakayeweza kudelete vikwazo vya kuleta maendeleo kitaifa na kimataifa.

Mleta uzi huu sio mtu wa kwetu ndio maana hajui mahitaji haswa ya Hai.

Swala la barabara, hospitali, elimu, hotels, makazi bora, lishe nzuri kwa familia na mengineyo yako njema tokea siku nyingi.

Mh. Kaka Mbowe. Endelea na kazi yako. Ndiyo tuliyokutuma.
 
Mimi ni wa Hai, Mbowe Mbunge wangu ila sikuelewi.

Usifikiri watu wa Hai ni sawa na wa ma jimbo mengine unayoyajua wewe ndugu yangu.

Wana Hai wanajitambua hasa. Tena vyama wao sio hoja ya msingi ila sijasikia malalamiko kama yako, sanasana wanajivunia kijana wao kulitumikia taifa.

Bahati nzuri sio watu wa kufanyiwa mengi hufanya wenyewe kuanzia elimu, maji na barabara. Tafakari ndugu.
 
Mimi ni wa Hai, Mbowe Mbunge wangu ila sikuelewi.

Usifikiri watu wa Hai ni sawa na wa ma jimbo mengine unayoyajua wewe ndugu yangu.

Wana Hai wanajitambua hasa. Tena vyama wao sio hoja ya msingi ila sijasikia malalamiko kama yako, sanasana wanajivunia kijana wao kulitumikia taifa.

Bahati nzuri sio watu wa kufanyiwa mengi hufanya wenyewe kuanzia elimu, maji na barabara. Tafakari ndugu.

Kwa hiyo ulitakaje? Kama maendeleo mnajiletea wenyewe sasa ulitaka mbunge aje awabebe mgongoni mkaazi mmoja baada ya mwingine?
 
Poleni sana wana - HAI.

Uchaguzi ujao msirubuniwe tena mkamchagua huyu tapeli wa kisiasa.
 
Mleta mada kusseeemboooo hatuhitaji ccm milele
 
Mhe Utakumbuka ulikuja hai kuomba kura na kuahidi utawatumikia watu Wa hai!,sasa imekuwa kinyume tunakuona kwenye maandamano mikoa mingine jimbo limebaki kiwa.

Tafadhali pamoja na kazi unayofanya kitaifa kumbuka wajibu wako.

Mwisho ushauri, uchaguzi ujao usigombee endelea na harakati za kichama ubunge waachie wanaweza kukaa bungeni.

Kama we si mbunge wangu hauna haja ya kujibu

Acha ubinafsi::banghead:
 
Mhe Utakumbuka ulikuja hai kuomba kura na kuahidi utawatumikia watu Wa hai!,sasa imekuwa kinyume tunakuona kwenye maandamano mikoa mingine jimbo limebaki kiwa.

Tafadhali pamoja na kazi unayofanya kitaifa kumbuka wajibu wako.

Mwisho ushauri, uchaguzi ujao usigombee endelea na harakati za kichama ubunge waachie wanaweza kukaa bungeni.

Kama we si mbunge wangu hauna haja ya kujibu

Jimbo la hai Lina bara Bara ya lami na hospitali na huduma nyingine hata kabla ya Uhuru ....
Jimbo la hai na majimbo mengine ya Mkoa Huo asilimia kubwa ya kaya zinaishi nyumba Za matofali...na wengi wao wana Umeme


Wabunge wengi wa upinzani ni Kama sadaka ..Majimbo yaliowachagua ..wametoa wabunge kwa Ajili ya Taifa zima
 
Poleni sana wana - HAI.

Uchaguzi ujao msirubuniwe tena mkamchagua huyu tapeli wa kisiasa.

mpe pole mkeo aliejifungulia njian kutokana na kituo cha afya huko kwenu mfomere ni km 50 na usafir ni baiskel umeme kituon hakuna MSD hawalet tena hata zile aspirin we mlala chooni.
 
Back
Top Bottom