Mhe. Ezekiel Maige: "Mara nyingi watenda mema hufanyiwa hiyana"

yaani huyu maige imemuuma kweli kweli kupokwa uwaziri..mbona aalalamika sana?kwa nini..khaaa ni uwaziri tu au kuna lingine?
 
Mbona analalamika tu mda wote?? Endeleea na Ubunge tu maige,the world is not fair jipange!!
 
maige ajivue gamba aende wapi - udp, tlp au nccr? labda aende kanisani maana anatoa mahubiri mazito
 
Bado analilia nini?kwnye picture kashindwa hata na mzungu?Mzungu kavaa tai ya rangi za TZ yeye kavaa asichokijua huku akijiita mzalendo.
 
Kwa mchambuzi makini,Maige ni mtu muhimu ktk kipindi hiki kuchukuliwa na CDM. Inaonyesha anafahamu mengi,na kama kawaida ametumiwa na mfumo,na ametupwa,ana hasira. Nawaomba mabingwa wa mikakati wa CDM msipoteze fursa muhimu kama hizi zinapojitokeza!
 
Huyu jamaa ningeweza hata kupata pumzi ya kumwamini kama asingesingizia kuwa amepata hela (sehemu ya dola laki 7 tu!) kutokana na biashara ya usafirishaji aliyofungua yeye na mkewe. Mkewe mwenyewe jamani, hata si wa kusingizia...Maige mwogope Mungu unayetaka akupiganie
 
ni kweli kuwa mara nyingi mtenda mema hufanyiwa hiyana,lakini kwako hapana!sasa kinachokufanya upite majukwaani kuiponda ccm,upite jukwaani kuwaponda viongozi wa sekretarieti ya ccm ni nini? wakati ulipokuwa waziri hukufanya hivyo?au kama ulijua ccm haifai,kilichokufanya ukubali kuitumika kama waziri wa serikali yake ni nini?haifai baada ya wewe kutolewa uwaziri?umejishushia sana hadhi!piga ua garagaza,wee ni mbunge wa ccm,ungekaa kimya mngekosoana ktk vikao vya chama!
Hapana kwa mujibu wa maelezo yake mimi nashawishika kuamini analosema tumsikilize mtu kama KAMRANI NI TISHIO TANGU ZAMANI NA HAKAMATIKI KITENDO CHA KUMKAMATA HUYO JAMAA KILIGUSA MASLAHI YA WATU WENGI NDANI YA SYSTEM NA ZAIDI YA YOTE HUWEZI KUJUA TATIZO MPAKA UMEPATA TATIZO
 
Hakuna aliyepata Mshtuko wowote kwa kufukuzwa kwa Maige.
Twiga auze yeye, Vitalu auze yeye, Wanyama hai auze yeye, sisi tupate Mshtuko wa nini bwana labda wale wafagiaji wake nyumbani kwake watakosa kazi. Hakuna hiyana umevuna ulichopanda siyo muadilifu hata kidogo.
 
Maige, why now? Andika kitabu basi tujue moja na tuchukue hoja zako kama reference in the future.
 
kwani maige alizaliwa ili awe waziri mbona anambwelambwela sana ushauri wangu Maige you can make it big even without being a minister lyf goes on bana ,kulalamika won't change anything try paln b yeeeeeeeeee ecccm yeneye makoye
 
HUU UVAAJI GANI?

253319_129699583787378_100002420106482_196261_5423901_n.jpg
 
mbona mawaziri wengine wamebakishwa?? kwanini yeye atolewe kama alikua hana kosa...mi bado simuamini sawa alikua anafanya kazi hatujakataa lakini naamini aliiba
 
Inahitajika Maige apewe ushauri nasaha na si vinginevyo, atakuwa ameatirika kisaikolojia, si bure kwa aliyekuwa mtu makini kuendeleza mijadala ambayo hata iweje, haitamrudisha katika nafasi ya Uwaziri.
Kwa hiyo uliwavamia "ovyoovyo"...........wewe Maige ni hovyo kabisa............[/LEFT]
[/SIZE][/COLOR]
 
Back
Top Bottom