Maige anatafuta pa kufia, hana jipya.
Bado analilia nini?kwnye picture kashindwa hata na mzungu?Mzungu kavaa tai ya rangi za TZ yeye kavaa asichokijua huku akijiita mzalendo.
Hapana kwa mujibu wa maelezo yake mimi nashawishika kuamini analosema tumsikilize mtu kama KAMRANI NI TISHIO TANGU ZAMANI NA HAKAMATIKI KITENDO CHA KUMKAMATA HUYO JAMAA KILIGUSA MASLAHI YA WATU WENGI NDANI YA SYSTEM NA ZAIDI YA YOTE HUWEZI KUJUA TATIZO MPAKA UMEPATA TATIZOni kweli kuwa mara nyingi mtenda mema hufanyiwa hiyana,lakini kwako hapana!sasa kinachokufanya upite majukwaani kuiponda ccm,upite jukwaani kuwaponda viongozi wa sekretarieti ya ccm ni nini? wakati ulipokuwa waziri hukufanya hivyo?au kama ulijua ccm haifai,kilichokufanya ukubali kuitumika kama waziri wa serikali yake ni nini?haifai baada ya wewe kutolewa uwaziri?umejishushia sana hadhi!piga ua garagaza,wee ni mbunge wa ccm,ungekaa kimya mngekosoana ktk vikao vya chama!
Kwa hiyo uliwavamia "ovyoovyo"...........wewe Maige ni hovyo kabisa............[/LEFT]
[/SIZE][/COLOR]