Mhe: Edward ngoyai lowassa

Meitinyiku L. Robinson

JF-Expert Member
Aug 29, 2011
412
90
Kila binadamu amejaliwa kuwa na kipaji chake na kipaji halisi hutoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye ndiye Muumbaji na mgawaji wa vyote kwa wanadamu ila kuna vipaji vingine ambavyo hutokana na mambo mbali mbali mathalan elimu n.k. Naungana na NOVA aliyejitahidi kuwakilisha hisia zake kwa Ushairi na kuonesha yale yaliyo moyoni mwake.

Binafsi nianze kwa kukupongeza kwa ujasiri, uvumilivu na hatua uliyofikia kuzungumzia yale uliyokuwa nayo ambayo kwayo baadhi ya Watanzania wasio na ushabiki na wenye nia njema kwa Watanzania wenzao wameweza kugundua yaliyokuwa sirini yatosha kusema kuwa japo ulichelewa ila sasa UMESHAFIKA. Mhe. Lowassa yaliyokupata naamini kama ni mwanadamu mwingine asiye na uvumilivu, staha na hata ujasiri basi ungekuta ameshazikwa ila ninacho amini ni kweli kwamba MTETEZI wako yu hai. Natambua una familia na umezungukwa na marafiki ambao wengi wao hawakuwa wakipendezwa kabisa na jinsi ulivyokuwa unashambuliwa kwa kejeli, matusi na dhihaka zisizo kuwa na kikomo yapata miezi saba kama mwenyewe ulivyosema ila sasa naamini wote wamepata japo kwa uchache kujua kuwa mchele ulikuwa upi na chuya vile vile.

Si rahisi sana kuamini kwamba ulijaribu kushawishi kuvunjwa kwa mkataba uliosababisha wewe kufikia hapo ulipo lakini vile vile si rahisi mtu wa kawaida kuamini kuwa uliwajibika kwa maslahi ya Chama na Serikali yako pia, ila tamko lako basi litufungue fikra na mawazo yetu. Na kama kweli "urafiki wenu si wa barabarani Israeli na aseme sasa." Kuna baadhi ya vyombo vya habari vilieleza kuwa wakati ukiwasilisha hoja yako kuna baadhi ya Wajumbe walionekana kutaka kulia ukweli ni kwamba kama hayo uliyoyasema ndivyo ilivyokuwa sintashangaa hata mtu akili na nashawishika sasa kuamini yale maneno yako kwamba "ulionewa sana na ulidhalilishwa sana" huu msalaba, haya mateso na hatimaye udhalilishaji na matusi yote na jina ulilobandikwa la kifisadi hukustali ila naamini umwaminiye alisimama imara katika kuhakikisha hutetereki.

Yatosha kusema unastahili pongezi, na sasa hata mimi binafsi naweza kusimama mbele ya umati wa watu nikasema neno juu yako kwa kuwa nitakuwa na ujasiri si tu wa kuwasilisha mada ila vile vile ya kutetea na kujenga hoja kwa hoja kwa nadharia na ushahidi. Samehe mara Saba Sabini sisi ndio vijana mlio tuzaa na tunajaribu kwa namna moja ama jingine kuhakikisha majina yetu yanajengeka katika mwamba imara japo tunaonekana kukosa hekima, busara, maarifa, uwezo, vigezo na hata staha katika kufanya hayo ndiyo maana tunaishia kukutukaneni tukiamini kuwa kwa kufanya hivyo basi tutakuwa na wakati mzuri na wakati mwingine tunaonekana kutumiwa na pande zisizotutakia mema. Mhe kwa kuwa vijana tumepotoka na utukufu wa Mungu unaelekea kupungua kwetu tusamehe manake naamini si wote walio hivyo kwa hiyo kwa kupitia wale wachache basi na wengine nao wapata msamaha naamini nao pia watakaa na kutafakari na kisha watatubu.

Nikutatakie heri katika yote na naamini wana Monduli, wana wa Arusha na vitongoji vyake wanakusubiri kwa hamu kwani "Mlifurahi pamoja, Mlihuzunika pamoja na mtasonga mbele pamoja"

Ni mwanzo mwingine wa hatua 1,000 mbele....................... I believe as we goby the game will change now from an enemy of the to a man of the people..............
 
Naunga mkono hoja, Edo is a state man, ingekuwa ni SITA amatukanwa namna hiyo tungeshuhudia vita, kubenea kumwandika vibaya kidogo kampakazia kununuliwa na mafisadi,Nape kasemwa kidogo jamiiforums kaanza kulia na kwenda kushtaki facebook, Edo hakugombanaa na waandishi, ameendelea kuwa mpole na mmnyenyekevu, this is a kind of a leader we want
 
Kila binadamu amejaliwa kuwa na kipaji chake na kipaji halisi hutoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye ndiye Muumbaji na mgawaji wa vyote kwa wanadamu ila kuna vipaji vingine ambavyo hutokana na mambo mbali mbali mathalan elimu n.k. Naungana na NOVA aliyejitahidi kuwakilisha hisia zake kwa Ushairi na kuonesha yale yaliyo moyoni mwake.

Binafsi nianze kwa kukupongeza kwa ujasiri, uvumilivu na hatua uliyofikia kuzungumzia yale uliyokuwa nayo ambayo kwayo baadhi ya Watanzania wasio na ushabiki na wenye nia njema kwa Watanzania wenzao wameweza kugundua yaliyokuwa sirini yatosha kusema kuwa japo ulichelewa ila sasa UMESHAFIKA. Mhe. Lowassa yaliyokupata naamini kama ni mwanadamu mwingine asiye na uvumilivu, staha na hata ujasiri basi ungekuta ameshazikwa ila ninacho amini ni kweli kwamba MTETEZI wako yu hai. Natambua una familia na umezungukwa na marafiki ambao wengi wao hawakuwa wakipendezwa kabisa na jinsi ulivyokuwa unashambuliwa kwa kejeli, matusi na dhihaka zisizo kuwa na kikomo yapata miezi saba kama mwenyewe ulivyosema ila sasa naamini wote wamepata japo kwa uchache kujua kuwa mchele ulikuwa upi na chuya vile vile.

Si rahisi sana kuamini kwamba ulijaribu kushawishi kuvunjwa kwa mkataba uliosababisha wewe kufikia hapo ulipo lakini vile vile si rahisi mtu wa kawaida kuamini kuwa uliwajibika kwa maslahi ya Chama na Serikali yako pia, ila tamko lako basi litufungue fikra na mawazo yetu. Na kama kweli "urafiki wenu si wa barabarani Israeli na aseme sasa." Kuna baadhi ya vyombo vya habari vilieleza kuwa wakati ukiwasilisha hoja yako kuna baadhi ya Wajumbe walionekana kutaka kulia ukweli ni kwamba kama hayo uliyoyasema ndivyo ilivyokuwa sintashangaa hata mtu akili na nashawishika sasa kuamini yale maneno yako kwamba "ulionewa sana na ulidhalilishwa sana" huu msalaba, haya mateso na hatimaye udhalilishaji na matusi yote na jina ulilobandikwa la kifisadi hukustali ila naamini umwaminiye alisimama imara katika kuhakikisha hutetereki.

Yatosha kusema unastahili pongezi, na sasa hata mimi binafsi naweza kusimama mbele ya umati wa watu nikasema neno juu yako kwa kuwa nitakuwa na ujasiri si tu wa kuwasilisha mada ila vile vile ya kutetea na kujenga hoja kwa hoja kwa nadharia na ushahidi. Samehe mara Saba Sabini sisi ndio vijana mlio tuzaa na tunajaribu kwa namna moja ama jingine kuhakikisha majina yetu yanajengeka katika mwamba imara japo tunaonekana kukosa hekima, busara, maarifa, uwezo, vigezo na hata staha katika kufanya hayo ndiyo maana tunaishia kukutukaneni tukiamini kuwa kwa kufanya hivyo basi tutakuwa na wakati mzuri na wakati mwingine tunaonekana kutumiwa na pande zisizotutakia mema. Mhe kwa kuwa vijana tumepotoka na utukufu wa Mungu unaelekea kupungua kwetu tusamehe manake naamini si wote walio hivyo kwa hiyo kwa kupitia wale wachache basi na wengine nao wapata msamaha naamini nao pia watakaa na kutafakari na kisha watatubu.

Nikutatakie heri katika yote na naamini wana Monduli, wana wa Arusha na vitongoji vyake wanakusubiri kwa hamu kwani "Mlifurahi pamoja, Mlihuzunika pamoja na mtasonga mbele pamoja"

Ni mwanzo mwingine wa hatua 1,000 mbele....................... I believe as we goby the game will change now from an enemy of the to a man of the people..............

Mungu huwaacha waovu wadumu ili kulilejesha Taifa katika haki au kulikomboa,kama alivyo mwacha Falao ktk taifa la Misri ili kuwakomboa Waisraeli ndivyo Mungu amemwacha Edward Lowassa afanye uovu wake ili Taifa lipate kulejea kwa Mungu.kwani matendoyake yanatosha kabisa kuwafanya watu wakeshe Makanisani na Miskitini.Mh Lowassa nakuomba uendelee kuwa FISADi wakimataifa kama ulivyosema sikumoja bungeni,nanukuu ( watanzania wanajuwa,na mataifa yanajuwa)mwisho wa kunukuu.
 
Jamani tuelezane basi huyo Lowassa anakugawieni ngapi ngapi? mbona watu wanatoka povu bila sababu? EL tayari keshajichimbia shimo na hatoki, JK lazima atammaliza kiaina kwani kaamuumbua mbele ya wajumbe wa NEC, kumbukeni kuwa JK ni mtu wa visasi sana kwa historia ya nyuma tunavyomjua...wangapi leo wanalima huko mashambani kisa hawakumuunga mkono alipokuwa unautafuta urais?
 
Ebwana eeh! Utadhani tushafika 2015. Mpeni kichwa chetu naye tuone, labda anaweza akawa na nafuu kidogo.
 
Jamani tuelezane basi huyo Lowassa anakugawieni ngapi ngapi? mbona watu wanatoka povu bila sababu? EL tayari keshajichimbia shimo na hatoki, JK lazima atammaliza kiaina kwani kaamuumbua mbele ya wajumbe wa NEC, kumbukeni kuwa JK ni mtu wa visasi sana kwa historia ya nyuma tunavyomjua...wangapi leo wanalima huko mashambani kisa hawakumuunga mkono alipokuwa unautafuta urais?

Hahaha! Hana ubavu wa kumpeleka Laigwanan mkuu kulima!
 
Naunga mkono hoja, Edo is a state man, ingekuwa ni SITA amatukanwa namna hiyo tungeshuhudia vita, kubenea kumwandika vibaya kidogo kampakazia kununuliwa na mafisadi,Nape kasemwa kidogo jamiiforums kaanza kulia na kwenda kushtaki facebook, Edo hakugombanaa na waandishi, ameendelea kuwa mpole na mmnyenyekevu, this is a kind of a leader we want
sitegemei mfuasi wa shetani kuwa mcha Mungu, Kuna mzee alinambia Lowassa anaweza kuabudiwa, na sasa nimeamini
 
When "Great thinkers" don't sound like great thinkers! Why JF members keep talking about Lowasa, we should think big let's talk about issues not people.
 
Ebwana eeh! Utadhani tushafika 2015. Mpeni kichwa chetu naye tuone, labda anaweza akawa na nafuu kidogo.
WAKUU naona kama vile EL ameanza kuzipangua tuhuma moja baada ya nyingine na amesema wanaomwita fisadi wanamtukana. JE ukweli uko wapi? Si ilinenwa kwenye ukweli uongo hujitenga, mbona imekua kana kwamba EL ndio mkweli hata kuvuta hisia za WATU? Au ni usahaulifu ndio tatizo. Some one pump in what wrong has EL done to his country now that he has punched out the famous Richmond saga? Tena kwenye mkutano.
 
Nyerere alimuuliza siri ya utajiri wake sidhani kama aliwahi kujibu.Kama wenzetu mlioanza kutuaminisha ni msafi mnajua tunaomba mtuambie siri hiyo ambayo ilishindikana kuitoa kwa mwalimu !

Namna ya uongozi wa Lowasa hata akiwa Raisi kuharibu ni sekunde hilo halijafichika.Mfano ,wazo la shule za kata lilikuwa zuri lakini utekelezaji ukawa mbovu kwani badala ya shule tumepata majengo ya shule(mabovu) na wanafunzi (wasiojua hata kusoma) .Na makovu kibao kwa kushurutishwa kuchanga.Sijui tunamsifia kwa lipi ?au ile michango ya makanisani na misikitini ?au TB Joshua kaanza kazi ya kinaijeria ?
 
Let CCM support EL to contest for presidency so that he paves the way for the Peoples Power!
 
Nyerere alimuuliza siri ya utajiri wake sidhani kama aliwahi kujibu.Kama wenzetu mlioanza kutuaminisha ni msafi mnajua tunaomba mtuambie siri hiyo ambayo ilishindikana kuitoa kwa mwalimu !

Namna ya uongozi wa Lowasa hata akiwa Raisi kuharibu ni sekunde hilo halijafichika.Mfano ,wazo la shule za kata lilikuwa zuri lakini utekelezaji ukawa mbovu kwani badala ya shule tumepata majengo ya shule(mabovu) na wanafunzi (wasiojua hata kusoma) .Na makovu kibao kwa kushurutishwa kuchanga.Sijui tunamsifia kwa lipi ?au ile michango ya makanisani na misikitini ?au TB Joshua kaanza kazi ya kinaijeria ?
Hadi usawa huu,aliowakubali Nyerere na aliowakataa wote sawa tu.

Chama chake hakifai,na since is no longer(RIP) unategemea nini?

Kipindi kile cha nyuma alisema kina "Ufa" kuanzia kwenye msingi...Sasa sijui angesema nini this time?

Unajuwa hata yule alie ji brand "Mr Clean" alichofanya mara baada ya mwalimu kufariki?

Ule ushetani wao ndo ukanonekana wazi wazi,huwa nashangaa mtanzania wa aina gani anayeweza kuitendea nchi yake uhuni kama huo.

Yani sipati majibu.
 
Hadi usawa huu,aliowakubali Nyerere na aliowakataa wote sawa tu.

Chama chake hakifai,na since is no longer(RIP) unategemea nini?

Kipindi kile cha nyuma alisema kina "Ufa" kuanzia kwenye msingi...Sasa sijui angesema nini this time?

Unajuwa hata yule alie ji brand "Mr Clean" alichofanya mara baada ya mwalimu kufariki?

Ule ushetani wao ndo ukanonekana wazi wazi,huwa nashangaa mtanzania wa aina gani anayeweza kuitendea nchi yake uhuni kama huo.

Yani sipati majibu.


Hakika hakuna anayefaa sembuse Lowasa,je yeye ndiye leo hii anaonekana msafi kati ya hao wachafu ?Au sifa ya ziada ni ipi ,pengine jicho langu la tatu ni bovu ?
 
Back
Top Bottom