Mhaya na Mnyakyusa

Mhaya na Mnyakyusa

CAMARADERIE

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
4,419
Reaction score
1,929
Mhaya mmoja aliingia baa na kukuta imejaa full isipokuwa kiti cha meza moja iliyokuwa na mteja mmoja. Jamaa akaikaribia na kumsalimia ''mywaji'' mwenzie na kumuomba kama anaweza kumjoin. Akakaribishwa na kuketi. Ikabidi watambulishane, mnyakyusa akasema '' naitwa Mwakimimba'' mhaya akasema '' mimi naitwa Mutafirwa''......ilibidi mabaunsa waingilie kati
 
Kwenye mji wangu asilimia kubwa ya mali nimenunua mimi......lakini KIDAWA wangu wa KIPAWA namsikia akisema kila kitu ni chake....nyumba yangu,gari yangu,hela zangu (tuna joint bank account),watoto wangu........ila kasoro mama yangu mzazi hasemi mama yangu :lol::lol::lol:

Hapo ndo kina "KIDAWA" wanapokosea!
 
sijaielewa mwishoni!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
Mhaya mmoja aliingia baa na kukuta imejaa full isipokuwa kiti cha meza moja iliyokuwa na mteja mmoja. Jamaa akaikaribia na kumsalimia ''mywaji'' mwenzie na kumuomba kama anaweza kumjoin. Akakaribishwa na kuketi. Ikabidi watambulishane, mnyakyusa akasema '' naitwa Mwakimimba'' mhaya akasema '' mimi naitwa Mutafirwa''......ilibidi mabaunsa waingilie kati

mkuu nimecheka mpaka wifi yako ameshtuka hapa kitandani...
 
Hapo ilibidi Mnyakyusa Amuite Kaka yake Mwakibolwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom