Mhariri aliyesema DR. SLAA WILL NEVER BE A PRESIDENT yuko katika msukosuko!

Mhariri aliyesema DR. SLAA WILL NEVER BE A PRESIDENT yuko katika msukosuko!

Na mimi ningekuwa na Diplomma ningeandamana kutaka NACTE wachunguze Uhalali wa hiyo diplomma. Tahariri yake haiwezi kuwa imetoka kwenye kichwa chenye diploma. Hata mtu wa std 7 anafikiria vizuri kuliko huyu.

Inawezekana kabisa hata ile article aliandikiwa!!!!
 
Duh, hii kali Diploma ME wa gazeti la serikali! mi nlizani ana MA, haishangazi ili uendelee kuwepo hapo lazima ujipendekeze saaaaana. hivi pale si kiuna watu wana Masters hapo?
 
Na mimi nakazia Slaa hatakuwa Rais wa Tanzania. Never!!Never!!Never!!

Pole sana mama, uongo na wizi huwa una mwisho wake. Ni wakati sasa wa ukweli, kama Mungu atamjalia, Dr. W. P. Slaa atakuwa rais wa tano wa Tanzania kinyume na hoja ya yule kihiyo wa Daily News!

Sote tuko nyuma ya huyu mtetezi wa Mtanzania mnyonge wa leo. Mungu mbariki Dr. Slaa, Mungu ibariki Tanzania.
 
Duh! Yaani jamaa pamoja na kujipendekeza na editorial iliyomshushia hadhi bado jamaa wanataka kumtosa!
 
Chadema na Dr. Slaa ni mto Ruaha. Lazima upige mahesabu kabla ya kuvuka manake mamba wake siku zote wana njaa isiyo ya kawaida.
 
Huyio mkumbwa na afukuzwe kabisa... no one is indispensable
 
Na mimi nakazia Slaa hatakuwa Rais wa Tanzania. Never!!Never!!Never!!

Sasa kama JK anatekeleza sera za akina Slaa na wenzake, mpaka hapo Slaa haongozi? Read between the lines.
 
Labda alichikichia mgao wa m/kiti wake wakati wa kampeni
 
Wakimwondoa itasaidia kurudisha hadhi ya Daily News maana wengi tulikuwa tunanunua Daily news kwa ajili ya nafasi za kazi
 
Kumbe ana diploma tu.

Ndo hvyo ndugu usishangae bila godfather sometym utoki,ebu fikiria vjana wangapi wana dgree zao wanasota,lakini watu wanabebana,ukiuliza!oh UJUZI,Pumbav we ulizaliwa na ujuz toka tumboni?ah
 
Na mimi nakazia Slaa hatakuwa Rais wa Tanzania. Never!!Never!!Never!!

Sawa, sasa kama Dr Slaa siyo raisi wa tano wa TZ, sasa inakuwaje JK anatekeleza sera za Chadema?
(Mifano: UDOM, Elimu bure mpaka FIV (CDM walisema FVI), Katiba Mpya nk?)
 
na bado huo mwanzo tu, wataumbuana wenyewe kwa wenyewe
 
Kama kweli ana diploma haishangazi aliandika aliyoandika! Hana qualification and the only survival mechanism ni kulamba miguu ya mafisadi. Tunamwombea apumzike kwa amani
 
Sasa kama anaenda na waganga kufanya ulozi ofisini amechanganyikiwa. Ashindwe na alegee..:angry::angry:


Ubaya wa ulozi huwa kuna time uki- expire inakuwa noma, yaani unakuwa kama umejipaka kinyesi! Hii ndo hasara ya kutumia nguvu za giza badala ya Sifa za Mtu
 
Back
Top Bottom