Mhadhiri Bashir Ally (UDSM) Atafutiwe Jimbo!


jaman prof MUHONGO mlimsifia sana hapa,nae anaharisha tu,
 
Hapo kwenye red: Unamaanisha Dr. Bashiru yupo kwenye kundi la Dr. Benson Bana; yule mpiga tarumbeta maarufu wa Lumumba? Kama yupo kwenye kundi hili naye hana maana zaidi ya wachumia tumbo.

Kile kitengo ni cha kuvunja kabisa..ningependa siku moja umsikilize hata kwa saa moja ktk vipindi vya hovyo km vya makwaia.Ni watu wanaopenda sana cheza na ujamaa na udini ili kukubalika ktk makundi yote.Hata nchi anazozipigia debe ni za hovyo sana.Wakanikimbizana na kivuli cha Ubeberu.Ni moja wapo ya wazembe wanaofuata reference za Mohamed Said ktk historia according to wanaharakati za wa aina ya Ponda.Haroub Othman pia alikuwa busya sana kuchanganya ujamaa na dini, na tamaduni za mashariki ya kati ktk kugeuza africa kuwa uchochoro wa mashariki ya kati.Sasa km huyu ndie graduate wa Haroub Othman ,ni wazi hakuna kitu ...bado tuna miaka kadhaa ya kufanyia kazi wapalestina, bashir, waa sudan, na madictator wengine ....

Watu wa UDSM political science ni wa hovyo sana, hawa specifics kwa vile blah blah na conspirancy thoerems zimewajamaa..Wakiingia jukwaa ni hawana misimamo yao zaidi ya kupima upepo, wkaipata wa kwao basi watadanganyana sana, wakpata chellenge wanajiweka neutral..they never be real people but real hypocrites. Ndio maana hawawezi shape siasa za nchi hii kwa vile hawajui hata wanaamini nini.

Ni wafuasi na si viongozi, ni wa kutuma tuu wakawadanganye watu nini, ndio maana wanaombea kusaidiwa ktk siasa, na si wao waonyeshe mfano.
 
niliskia anaifanyia Ujeruman,since 2010,,,,hajamaliza

Ktk hiyo fani anayo kazi angeenda ichukulia Algeria au Misri, au hapo UDSM ,km Haroub othman angekuwepo angepindhisha hiana za hicho chuo kumsaidia...

Ujerumani ktk hizo fani wana watu makini sana, na wanajua madhara ya watu wenye fika zilizopinda kama za huyu jamaa...pengine ktk maandishi yake kaandika ujinga unaohatarisha image ya Ujerumani, na western civilization kwa kiasi cha kufanya research yake ionekane km imeandikwa na Osama.

Ndio ujinga wa watu wetu , wanaojiita wasomi, Irresposnibility ni adui wa wenzetu.Ndio maana hapo UDSM hawawezi kuwa wazalendo kw akiasi cha kuleta tafiri sahihi na za kujenga taifa letu.Tafiri za kulipa tiafa letu edge over nchi a ukanda huu na duniani.

hadi leo wanaendesha ujinga tuu, hawajaweza shape politics za ukanda huu kwa kiasic ha Tanzania kuwa na say au kupandikiza watu.Leo Bandari ya Bagamoyo inaweza isiwe na kazi, wenzetu wanataka jenga bandari ya Kisasa sana kwa Africa nzima Kenya.Kenya itaendelea kuwa na edge over us.
 

Nicholas nilishawai kusoma mahali wasomi inaonekana wanaishauri vizuri sana serikali,ila wanasiasa wanawapuuza
 
Last edited by a moderator:

Nicholas nilishawai kusoma mahali wasomi inaonekana wanaishauri vizuri sana serikali,ila wanasiasa wanawapuuza
 
Last edited by a moderator:
Nicholas nilishawai kusoma mahali wasomi inaonekana wanaishauri vizuri sana serikali,ila wanasiasa wanawapuuza

Ni kweli unayosema..na haya si kwa "....hawa wa political science na sociology..."..hawa ni kichefuchefu, kwanza promo zao ni za kusafisha watu...na hawa ndio huwa wanatajwa kwa mbwembwe sana na wanasiasa kwa vile wanataka wakuza sana ili matamko yao "..hawa jamaa yawe na nguvu..".

UD ni chuo cha hovyo sana..bora watu km akina Lissu wameibuka kwani wanawashtua wapuuzi wengi (maprof, na ma Dr..) ambao walikuwa wakiamini dunia bila siasa mawingu yatawaangukia na kuwaua.Utashangaa hata Prof Shivji akipambana sana kushape siasa za nchi kwa mihdhara yake..Behind the curtain ni wa hovyo km wengine ktk kukwamisha watu wengine, kwa gia ya uprof wake.

Watu wanastahili think beyond upana wa fikra za huyu prof.
 
Bw. Omutwale, ulipokosea hadi watu wakahisi mambo mengine juu ya msomi Bashiru ni pale uliposema kwamba maeneo kama Ibwera na Katoro haitaji kupiga kampeni. Nafahamu haya ni maeneo ni ngome juu ya uislam pale bukoba na mkoani kagera kwa ujumla ingawa inawezekana pia ndipo anapozaliwa msomi huyu lakini kwanini hukufafanua vizuri juu ya maeneo hayo na kutohitajika kwake kufanya kampeni. Hivyo umeruhusu wachangiaji wanaoyajua maeneo hayo wamuhusishe na imani yake ingawa sio dhambi pia kukubalika eneo fulani kwasababu hata kwa idadi yao wanahitaji kutengeneza mwakilishi hata ikibidi mwakilishi mwenyewe si mwenye weledi lakini atatatetea imani yao
 


Hapo kwenye red hapo siyo kweli, Haroub hakuwahi kuwa VC wa UDSM, vyuo vya kata mnamatatizo sana
 
....why Ibwera na Katoro, na si kwingine? ....
Ni kwa sababu ni maeneo ya watu wenye msimamo ambao walikwisha iva kimageuzi siku nyingi sana.
Bw. Omutwale, ulipokosea hadi watu wakahisi mambo mengine juu ya msomi Bashiru ni pale uliposema kwamba maeneo kama Ibwera na Katoro haitaji kupiga kampeni....
Mbona Wilfredy Lwakatare naye kwao ni Ibwera na hilo watu haliwashtui? Enewei sababu nimeitoa hapo juu.
 

ha ha..sipendi ongea sana ktk hilo ila ukweli ndio km ulivyoona..haroub otman alimezwa sana na hilo na mara nyingi alijitahidi kuzugia na siasa za kijamaa ili kufight common enemy ubepari na adui wa mfukoni (Mfumo Kristu).

Well, Aliyekujibu naye jibu lake halijajitoa km alivyofikiri....ni km kasema kuwa Waislam tangu siku nyingi walikuwa wamejitenga.so huko kusema waliaka mapema ni lugha ingine tuu.
Ni kwa sababu ni maeneo ya watu wenye msimamo ambao walikwisha iva kimageuzi siku nyingi sana.

Mbona Wilfredy Lwakatare naye kwao ni Ibwera na hilo watu haliwashtui? Enewei sababu nimeitoa hapo juu.

Hiyo ndio UDSM political science na hidden agenda.....watanzanaia tumekuwa tukijisahau kwa kuzugwa na ujamaa kuimarisha wenye agenda ya kidini.ndio maana Africa imekuwa kichaka cha siasa za Mashariki ya Kati
 
Bashiri ni kichwa sana namkubali lakini wewe mleta mada unaona kuwa bashiri kazi anayofanya hailisaidii taifa?mbona mnapenda kuona kuwa siasa ndo kila kitu?
 
Tunawasha taa ili kuondoa mwanga au tunaondoa giza kwa kuwasha taa?....dalili ya kukosa hoja!
uliposoma hii post ulielewa?
Kakodi watu wa kumsifia huyo imamu wako wa msikiti!
 
Tunamhitaji aendelee kutoa elimu kwa vijana hapo Udsm, akienda kwenye siasa live jimboni mtashangaa, tunao wasomi wazuri tu kwenye siasa na wengine ni mawaziri lakini wakifika huko hamna impact, unadhani ninini? ni mfumo mzima unahitaji kuwa overhauled.
 
Afundishe vijana tutapata faida kubwa kuliko yeye mwenye kuingia uwanja wa vita
 
Namjua tangu mwaka 1997, alikuwa anakaa Hall IV na mpemba mmoja anaitwa Salum. Huyu jamaa ni mzinzi sana, hafai hata kidogo!

je yule aliepora mke wa mtu na kuishi nae km kimada sio mzinzi????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…