abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
[h=1][/h]Posted on June 17, 2012 by zanzibaryetu
Waislamu waliofika katika viwanja vya Malindi baada ya kutawanywa na jeshi la polisi huko Mahonda ambapo walikuwa wakienda Donge. baadhi ya watu wameumizwa baada ya kupata kipigo kutoka kwa polisi wakiwemo wanawake ambao walikimbilia msikitini na kupata kichapo huko huko ndani ya msikiti
Waislamu waliofika katika viwanja vya Malindi baada ya kutawanywa na jeshi la polisi huko Mahonda ambapo walikuwa wakienda Donge. baadhi ya watu wameumizwa baada ya kupata kipigo kutoka kwa polisi wakiwemo wanawake ambao walikimbilia msikitini na kupata kichapo huko huko ndani ya msikiti