Mhadhara wa Donge washindwa kufanyika

abdulahsaf

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
858
130
[h=1][/h]Posted on June 17, 2012 by zanzibaryetu
Waislamu waliofika katika viwanja vya Malindi baada ya kutawanywa na jeshi la polisi huko Mahonda ambapo walikuwa wakienda Donge. baadhi ya watu wameumizwa baada ya kupata kipigo kutoka kwa polisi wakiwemo wanawake ambao walikimbilia msikitini na kupata kichapo huko huko ndani ya msikiti
 
May be ya weza kuwa mwarobaini wa kuzuia kuchanganya Dini na siasa na kuzaliwa kwa makundi ya kihuni na magenge ya KIGAIDI kama UAMSHO, polisi tembezeni kipiko kwa saana ili liwefundisho na kwa wabara wanaopenda kuiga mambo ya kigaidi kwa kutumia mgongo wa Dini
 
May be ya weza kuwa mwarobaini wa kuzuia kuchanganya Dini na siasa na kuzaliwa kwa makundi ya kihuni na magenge ya KIGAIDI kama UAMSHO, polisi tembezeni kipiko kwa saana ili liwefundisho na kwa wabara wanaopenda kuiga mambo ya kigaidi kwa kutumia mgongo wa Dini

UCHANGANYAJI WA DINI NA SIASA WAULIZE MAPADRI WAKO, HII NI KITU GANI ??? KUTOKA GAZETI LA KIONGOZI

‘Siasa bila dini ni uendawazimu’

Na Lilian Nyenza


Kanisa halitaacha kutoa mwongozo kwa watu wake hata kwa mambo ya kisiasa ukiwamo uchaguzi kwa kuwa, siasa bila dini ni sawa na uendawazimu.

Aidha, imedaiwa kuwa tabia ya kuwalaghai vijana kuwa ni taifa la kesho, ndiyo inayowadumaza kiakili na kuwafanya watumiwe na wanasiasa kufanya fujo, badala ya kujitokeza kuongoza kwa kufuata taratibu za nchi.

Mkurugenzi wa chama cha kifamilia cha Undugu Association Tanzania, Padri Baptiste Mapunda, alitoa kauli hiyo katika sherehe za kuuaga mwaka 2004 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2005, zilizofanyika katika ukumbi wa Parokia ya Mt. Yosefu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.
Mkurugenzi huyo wa UNDUGU ASSOCIATION TANZANIA alisema kuwa, Tanzania imeanza kuonesha dalili mbaya za machafuko kutokana na baadhi ya watu wakiwamo wanasiasa kuweka mbele ubinafsi.
"Tukikaa kimya huku mambo yanaharibika katika jamii; eti tuwaachie wanasiasa wafanye watakavyo, tutakuwa hatutendi wajibu wetu na hivyo, Kanisa halitaacha kusema ukweli kwa maslahi ya umma hata kama unamkera mtu. Hii ni kwa kuwa tunajua wazi kuwa siasa bila dini, ni uendawazimu ambao mtu hajui akifanyacho kwa kuwa akili yake haijatimia kiroho." alisema.
Aliitaka jamiii ya Kitanzania ijifunze thamani ya amani na siasa safi kutokana na hali ya amani na usalama katika nchi jirani za Rwanda na Burundi ambayo ni hatari na inasikitisha.
Alisema vita na mauaji yanayoendelea katika nchi hizo, yanasababishwa na uroho wa madaraka wa watu wachache ambao hawajali utu wa wengine.
Aliongeza kuwa, "Siku zote tunapaswa kukumbuka kuwa, amani na mapendo ambayo Mungu ametujalia, tunapaswa kuyaenzi sisi sote kwa kuwa siasa bila dini, ni sawa na uendawazimu."
Padri Mapunda aliiasa jamii kuendelea kumuomba Mungu ili azidi kuwajalia amani,upendo na utulivu uliopo sasa, kuwa uwepo hata baada ya Uchaguzi Mkuu kupita.
Amewataka Waamini kuwaombea viongozi wanyanyasaji kama Herode, wabadilike na hivyo, kuongoza nchi kwa haki na akawasihi Watanzania kuyashinda maovu kwa kutenda yaliyo mema.
Hata hivyo, Padri Mapunda amewatahadharisha vijana kujiepusha kutumiwa na baadhi ya viongozi wa siasa, kwa nia ya kufanya fujo katika uchaguzi.

"Vijana mara nyingi wamekuwa wepesi wa kurubuniwa na vijizawadi vidogo vidogo, ili wafanye kile wanachokitaka wanasiasa wabinafsi. Sasa mimi nasema mkae chini na mlitafakari hilo kwa makini. Mtakao angamia ni ninyi na si wao," alitahadharisha.


Alisema vijana ni Taifa la leo na Taifa bila vijana limekufa, hivyo aliwasihi kuwaheshimu wazazi na walezi ili wapate kuishi maisha marefu na yenye heri duniani, kama walivyojaliwa kuuona mwaka huu mpya.
 
kwa nini tufike hapa ili hali viongozi wetu wapo, je, tuamini kuwa kweli kabisa wameshindwa kukaa meza moja na kujadiliana ya kufanya. kama issue ni muungano mbona unajadilika vizuri
 
kwa nini tufike hapa ili hali viongozi wetu wapo, je, tuamini kuwa kweli kabisa wameshindwa kukaa meza moja na kujadiliana ya kufanya. kama issue ni muungano mbona unajadilika vizuri

Tuna watawala wanaopenda kuburuza watu,hatuna viongozi
 
msishangae wakija watu hapa na kusema kuwa askari wanatimiza matakwa ya kanisa ama ya pinda.
Kwa nini usianze kujishangaa wewe mwenye kwa kushabikia vikundi kwa kigaidi!Vipi pinda ameshakuwa rais sasa?makanisa yataendelea kuwepo mbaka mwisho wa dahari,na kwa sasa tunafatilia mwenendo wa vikundi vya kigaidi kwa karibu zaidi!
 
Hao ni vibaka tu hawana lolote la maana, wanastahili mkong'oto!!!
 
Hivi ndivyo alivyoandika Mervlyn Hiskett:

Nyerere is a devout Catholic and Crusader against Islam in Zanzibar though it was only recently that the book "The Course of Islam in Africa" by Mervyln Hiskett indicated that the Union was imposed by Nyerere for Crusade against Islam in Zanzibar:

Union was imposed on the Muslims of Zanzibar by Nyerere, a militant Christian and his henchmen Okello against the will of the Zanzibari people, and that has been followed by a deliberate campaign to extinguish the Islamic character of Zanzibar under a secular constitution." (p. 170).
 
Back
Top Bottom