FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,890
- 109,224
Semeni hivi: "Huyo mzungu katumwa na CCM na alikatiwa ticket na CCM kutoka alikotoka kuja kufanya thesis yake Tanzania na walimwambia nini cha kufanya na nani wa kumuona na pia alikuwa mgeni wa CCM kote alikotembelea" Nawashangaa sana kuwa hilo hamlisemi? Nangoja.
Ngoja niwape maujanja CHADEMA:
Ikiwa hiyo habari ndio kama ilivyo na huyo mzungu au sijui kabila gani, hajakutana na Zitto ku verify basi hiyo habari itakuwa haina maana kabisa. Ni porojo tu kama porojo zingine.
Ngoja niwape maujanja CHADEMA:
Ikiwa hiyo habari ndio kama ilivyo na huyo mzungu au sijui kabila gani, hajakutana na Zitto ku verify basi hiyo habari itakuwa haina maana kabisa. Ni porojo tu kama porojo zingine.