Inaelekea kuna watu hawajui hata maana ya mavuno lakini ndiyo wa kwanza kuanza kujadili. Mgeni rasmi anaweza kuwa mwanasiasa/waziri/mbunge, mfanyabiashara nk bila kujali dini yake. Hi watanzania wamekuaje mpaka kila kitu lazima wakitazame kwa miwani ya udini?