Mh.Yoweri Museveni alipokuwa nchini Tanzania miaka 1970

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,870
34,357
Chuo cha Ushirika Moshi, Kilimanjaro, Tanzania, 1970s. Yoweri Museveni (sasa Rais wa Uganda) akiwa na mwanae. Wakati huu Yoweri Museveni alikuwa mwalimu katika Chuo Cha Ushirika Moshi. Museveni alikuwa nchini pamoja na wasomi wengine waliokimbia Uganda baada ya Idd Amin kuipindua serikali ya Milton Obote mwezi Januari mwaka 1971.

Yoweri Museveni.jpg
 
Alipigana bega kwa bega na majeshi ya wananchi wa Tanzania wakati wa kumtoa nduli Idd amin dada, nashauri Jwtz wampandishe cheo na kuwa brigadier general na awe anapewa heshima hiyo kila anapotembelea tz
 
Mhe.Museveni amejenga Sekondari ya kisasa kabisa pale Muhutwe -Muleba kama asante yake kwa wananchi wa Tanzania wakati wakipigana kuikomboa Uganda
 
Back
Top Bottom