Mh! yataka moyo.

Mh! yataka moyo.

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,663
1390559_548582711894526_1938741963_n.jpg
 
Kaka zetu mnatafutaga pesa kwa shida saana wengine wananusurika kufa lakini mkituona tu mnasahau! Mnahonga au matumizi yasiyo na maana. Jihurumieni
 
dah huyu jamaa hajionei huruma....angetafuta hata kitu cha kuziba mikono....
 
anasafisha choo ili na yeye wanawe waweze kupata choo.
 
Mbona hujatoa hadhari.......aaaaaaaaaagahhhhhhhhhhhhhhh
 
naona vitu virefuvirefu kama kete................au ndio walewale?
 
Back
Top Bottom