Mussa kiraka
Senior Member
- Mar 4, 2012
- 106
- 13
Mambo vipi? wana nimeingia kitambo bila hodi lakin nashukuru cjamkuta mtu anavaa. je ungekua upo uchi na me nimeingia bila hodi ungenikaribisha?
Karibu pita mpaka kitandani.
Karibu pita mpaka kitandani.
Kwani nani asiyeujua uchi?
Na ukiuona kwani unanitoka?
Haaaa mbona tunapokuwa na wapenzi wetu tunakuwaga uchi?
Ungekaribishwa tu
karibu tu.