DiwaniMteule
New Member
- Nov 23, 2015
- 2
- 0
Hongera sana Mh.Majaliwa Kassim Majaliwa kwa kuteuliwa kuwa waziri mkuu wa serikali yetu tulivu ya Tanzania.Tunakuomba angalia kwa makini hizi halmashauri mpya katika utendaji na ufanisi wake na hasa halmashauri za mikoa ya pembezoni ya nchi kama vile Kigoma,Ruvuma, Katavi na mingine iliyoko pembezon ikama hiyo.Kwa kuwa waifahamu sana wizara hii ya serikali za mitaa.
Tunategemea msemo wa HAPA KAZI TU upitie mpaka katika halmashauri za nchi yetu ili tuweze kuwa na Imani Zaidi na seikali yetu makini.Vilevile utumikaji wa raslimali za umma umekuwa sii wa kikazi za serikali,Rais amepunguza safari za maofisa waserikali kwenda nje ya Nchi ili kubana matumizi lakini katika hatua ya kushangaza utakuta kuwa magari ya serikali yanatumika kwa shughuli binafsi tofauti na za kiofisi hata siku za mwisho wa wiki kama jumapili.
Naomba tuangalie kwa makini pia.
ASANTE.
Tunategemea msemo wa HAPA KAZI TU upitie mpaka katika halmashauri za nchi yetu ili tuweze kuwa na Imani Zaidi na seikali yetu makini.Vilevile utumikaji wa raslimali za umma umekuwa sii wa kikazi za serikali,Rais amepunguza safari za maofisa waserikali kwenda nje ya Nchi ili kubana matumizi lakini katika hatua ya kushangaza utakuta kuwa magari ya serikali yanatumika kwa shughuli binafsi tofauti na za kiofisi hata siku za mwisho wa wiki kama jumapili.
Naomba tuangalie kwa makini pia.
ASANTE.