Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,707
- 1,729
Wakati tukisubiri uteuzi wa baraza la mawaziri wetu toka kwa mheshimiwa Rais na kama nilivotupia uzi humu kuwahusu waheshimiwa Mwigulu, Kange na Filikunjombe kuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa mawaziri, mwingine mwenye sifa hiyo kwa sasa ni mheshimiwa alhaji Juma S. Nkamia katika wizara ya utamaduni.....