kama raisi anataka avunje tena baraza la mawaziri mwezi wa nne mwakani amuweke Mwigulu huyo uliyemtaja.....Wakati tukisubiri uteuzi wa baraza la mawaziri wetu toka kwa mheshimiwa Rais na kama nilivotupia uzi humu kuwahusu waheshimiwa Mwigulu, Kange na Filikunjombe kuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa mawaziri, mwingine mwenye sifa hiyo kwa sasa ni mheshimiwa alhaji Juma S. Nkamia katika wizara ya utamaduni.....
Wakati tukisubiri uteuzi wa baraza la mawaziri wetu toka kwa mheshimiwa Rais na kama nilivotupia uzi humu kuwahusu waheshimiwa Mwigulu, Kange na Filikunjombe kuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa mawaziri, mwingine mwenye sifa hiyo kwa sasa ni mheshimiwa alhaji Juma S. Nkamia katika wizara ya utamaduni.....
Mkuu, any example please coz he's wife and chidren already!
Mkuu, any example please coz he's wife and chidren already!
Nasema hivi, kama nkamia atakiwa waziri, nabadilisha uraia nitakywa na uraia wa malawi.ila kama kulimunjombe atakywa waxiri nitampa big heko kikwete
Mbona wote ni watukanaji bungeni hao? Nkamia, mwiguru n.k
Niwewe mwenyewe umeamua kujipigia promo au mleta mada umepewa bei gani?