Kwa kishindo? Mzimu wa Bulaya na Warioba unamtesa
wewe nae ni mwehu uliyepost.huyo mwisho wake mwaka huu mwakani atafungasha virago kazeeka hana jipya huyo gambaWaziri wa nchi ofisi ya Rais mahusiano na iratibu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Bunda mkoan Mara jana tarehe 19/20/2024 ameshitushwa baada ya kukutana na mapokezi makubwa ambayo hayajawahi kutokea jimboni humo ambayo yaliandaliwa na wananchi kwa malengo ya kumpongeza shujaa wao juhudi kubwa na uzalendo wa hali ya juu wa kufanikisha upatikanaji au kukamilika kwa katiba inayo pendekezwa.
Hata hivyo mh. Wasira kwa furaha na kujiamini alifafanua baadhi vipengele vya katiba vikiwemo ukomo wa ubunge,maadili ya viongozi nk na wananchi walifurahishwa na ufafanuzi huo.
Waziri wa nchi ofisi ya Rais mahusiano na iratibu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Bunda mkoan Mara jana tarehe 19/20/2024 ameshitushwa baada ya kukutana na mapokezi makubwa ambayo hayajawahi kutokea jimboni humo ambayo yaliandaliwa na wananchi kwa malengo ya kumpongeza shujaa wao juhudi kubwa na uzalendo wa hali ya juu wa kufanikisha upatikanaji au kukamilika kwa katiba inayo pendekezwa.
Hata hivyo mh. Wasira kwa furaha na kujiamini alifafanua baadhi vipengele vya katiba vikiwemo ukomo wa ubunge,maadili ya viongozi nk na wananchi walifurahishwa na ufafanuzi huo.
Waziri wa nchi ofisi ya Rais mahusiano na uratibu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Bunda mkoan Mara jana tarehe 19/20/2014 ameshitushwa baada ya kukutana na mapokezi makubwa ambayo hayajawahi kutokea jimboni humo ambayo yaliandaliwa na wananchi kwa malengno ya kumpongeza shujaa wao juhudi kubwa na uzalendo wa hali ya juu wa kufanikisha upatikanaji au kukamilika kwa katiba inayo pendekezwa.
Hata hivyo mh. Wasira kwa furaha na kujiamini alifafanua baadhi vipengele vya katiba vikiwemo ukomo wa ubunge,maadili ya viongozi nk na wananchi walifurahishwa na ufafanuzi huo.
Watatoana kwenye kura za maoni za chama chao, si kura za wananchi. Hatutaki tena mtu toka magamba, hata angekuwa mzuri vipi.Bulaya lazima amuondoe,ni binti machachari
Hata Chenge alipokelewa kwa kishindo Bariadi baada ya ile tuhuma ya vijisenti. Ni baada ya kuchinja ng'ombe 8 na watu kupewa kitoweo bure.Wasira ni shujaa hapo bunda??
Mkuu, sio uhuni, ni kweli kabisa angalia tarehe, mwezi na mwaka waliompokea huyu jamaa!